Stand mpyaNishukie kibaha ipi nipo kwenye daladala
Kaliona live
Nipo hapa nishatia timu mapema natekeleza majukumu yangu ya upenzi utazamaji[emoji3][emoji3]location yake ya mwisho + ex wa mganga.
nimefungua code
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndomana ndoto hazimuishi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah mbn virahisi sana dada
Ulivyotoa tu baadhi ya hizo code # upande wa nyanda za juu kusini. Fasta nikatuma wawakirishi upande wa ving'amuzi vya code,bila shida tukakuona wewe umevua hii nyingine hii umeweka pembeni. Na huyo mchawi. Hotel nayo tumeisoma. Nitawatembelea baadaeHahahhahahahahha alafu unanisingizia mm mwenyewe mtoa code[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaa umekuwa mzoefu wa kaziNipo hapa nishatia timu mapema natekeleza majukumu yangu ya upenzi utazamaji[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kibantuMimi nafuata tu upepo dada yangu, sitaki kumaliza nguvu hizi kiduchu kwa kufungua code, nitakosa za kusimama kwenye daladala maana nataka nikale bata huko mjini..
Mweeeee mbn futa jingi sanaa utaharishaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utanishinda kupika?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1075437
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilainishie bas mdogo wangu umbea tiba[emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa ni Senior[emoji3][emoji3][emoji3]hahahahaa umekuwa mzoefu wa kazi
Hapa tatizo sio wao kunjunjana..[emoji30][emoji30]tatizo ni kutowatambua Aiseee kichwa kizito zaidi ya 300kgWanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kibantu
Ni mimi huyo.Huyo kwenye avatar yako ni nan?
Ebu niache hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mweeeee mbn futa jingi sanaa utaharishaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]