Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Hahahhahahahahha alafu unanisingizia mm mwenyewe mtoa code[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulivyotoa tu baadhi ya hizo code # upande wa nyanda za juu kusini. Fasta nikatuma wawakirishi upande wa ving'amuzi vya code,bila shida tukakuona wewe umevua hii nyingine hii umeweka pembeni. Na huyo mchawi. Hotel nayo tumeisoma. Nitawatembelea baadae
 
Mimi nafuata tu upepo dada yangu, sitaki kumaliza nguvu hizi kiduchu kwa kufungua code, nitakosa za kusimama kwenye daladala maana nataka nikale bata huko mjini..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kibantu
 
Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!

Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]

Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]

Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.

Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.

Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.

Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.

Location: Kiomboi Singida.
Hapa tatizo sio wao kunjunjana..[emoji30][emoji30]tatizo ni kutowatambua Aiseee kichwa kizito zaidi ya 300kg
 
Back
Top Bottom