JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Wale Joni visomo wa debate wasingekosekana...
Why education is better than money
My name is ngabu I come from form one B
Education is better than money because if you get educated sorry I repeat again [emoji87][emoji23]... If you get education you can use zat education to find a job, and after getting zat job you get money which can help you buy many many sings... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ulikuwa unanipiga Majungu ya aibu.

Njoo tifanye kweli basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ile maneno mengiiii kutongoza huwezi, basi unaishia kula kwa macho tu. Hata nikikupa hautoweza.
 
Mimi natamani maana nilikuwa naogopwa kwa ununda alafu najulikana kama Tajiri wa Shule nzimaa kifupi nilikuwa Star yani nafahamika kuanzia form 1 mpaka 6 na nilkuwa na mpenzi handsome shule nzimaa acha kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh kwa kweli na huu unyaki unanifichia kabisa upole wangu
Sent from my SM-N920C using Tapatalk
 
Mimi natamani maana nilikuwa naogopwa kwa ununda alafu najulikana kama Tajiri wa Shule nzimaa kifupi nilikuwa Star yani nafahamika kuanzia form 1 mpaka 6 na nilkuwa na mpenzi handsome shule nzimaa acha kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzidi mimi[emoji87][emoji87][emoji87][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Sijaona watu/vinara wakupiga double share(addition) ya chakula kuanzia uji, wali, ugali na makande.

Hapa usingenikosa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tungekuwa pamoja
 
nmetafuta jina langu lakn sijaliona, itakuwa me mtoro au ndo yule kiherehere wa walimu muda wote nko ofisin
[emoji17][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wala vimbelembelee!Wale!!wewe doja wa shulee!!mpk siku ya mtihani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…