Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Kudoj prepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tungekuwa tunaenda kwetu hawana nomaWewe ungenisababishia sunsper wewe!!!
aahh sana tuMngebemendana halafu muda wa prepo!!!sasa full kusoma pamojaa!!!kula pamoja na mambo yoteee!!!!
Walikuwa wanataka turuke steji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi bwana nimesoma gvt ila sasa!!siku za disco wee!maustadhat nakuambia tunawakomaa wanatusemaaa balaa!hatukomii!!tunaenda kama kawaida na vipanchuchu vyetu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaa!, yaani lazima una mchongo mmoja wa nguvu sana, maana sio kwa kujificha huku!
Tugawane basi! 😀
Ahahahah ,ilikuwa mkikamatwa couple mnaambiwa mshikane mikono mtembee madarasa yote halaf mnaenda kulala juani wewe na mchizi wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] waiba nyanya bwana wakakamatwa wakasambazwa mabweni yotee
Morning speech sina shida nakuja unimezeshe.Awww!, jamani Rey...
I appriciate my dear, this's so kind of You!
Lakini ndo tunaendelea kujifunza hapa JF.
Halafu jamani siku ile kwenye ile thread ya mheshimiwa Shy..,niliona salamu zako.
Kuja kurudisha majibu then nikaondoka kidogo, kurudi nakuta kumbe mods walipita na wakaamua kujibebea baadhi ya comments na kuondoka nazo. Zile ambazo zilikuwa S.explicit sawa, lakini jamani mpaka za salamu?!
Anywayz...I love you back giiiirl! 🙂
Inaathiri ila sio kwa kiasi cha kudumu, baada ya kutoka shule anapata tabu kidogo ila baadae anajichanganya tu kama kawaida! Shule za bweni zinamjenga mtoto uwezo wa kujitegemea....usimnyime nafasi ya kuexperience hayo maisha.ila kiukweli nikijaliwa kuwa na mtoto sitampeleka boarding,lol japokua kuna experience nzuri na mbaya,mwanangu hapana,sitaki awe traumatized for life...nataka niwe na monitor his/her progress as she/he is growing ….umeona wale waliosoma shule za wasichana tupu au kiume tupu especially za kidini,mfano mtu wa Maua Seminary anavyo behave mbele ya watu(wasichana)..LOL
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ndio umejificha kwakweli, mie nimejaa tele na mama mchungaji, kama namuona Heaven Sent anavyomfanyia maombi MO11 asimkengeushe mama yake.
BTW nimekumisimo acha tu.
Weee hujaniona huko juuHahaha!, hivi hajafika tu hapa...lol!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tungekuwa tunaenda kwetu hawana noma
Yaani kunibana hivyo ili ugundue nini?aahh sana tu
Hivi hii ilikuwa kila shule eeeh!! Disco unaenda ila unakua tu kifuatacho itv ni kuwekwa kikao na kuombewa[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi bwana nimesoma gvt ila sasa!!siku za disco wee!maustadhat nakuambia tunawakomaa wanatusemaaa balaa!hatukomii!!tunaenda kama kawaida na vipanchuchu vyetu!
Aiseee usingizi wake balaa,makande,wali tupo sita kila mtu na kisado chake halaf unasingizia kuwa tupo wawili na mgonjwa basi kinajazwa ,,mkifika bwenini mnaanza na kimoja kimoja vinavyobaki tunafungia kwenye locker tunakula wali na maharage asubuhi ,Watu tulikuwa tunatumia vindoo vidogo vile vya sabuni za unga [VISADO" au makopo yale ya peanut butter tulikuwa tunayaita "BANGALA"....
Yaani ukimaliza uji hapo vipindi vyote vinavyofuata hapo baada ya breaktime ni usingizi wa kufa mtu aisee....
AhahahahahhahOntario angefaa kuwa mwizi ... Wa shule .. Hii
Hahahaaaa!!! Yaani fire kwenye utamu wangu we mtoto si unataka laana!! Au hautaki baba wewe!Eeeeh ni fireeee tu kwa kwenda mbele, no mkengeuko