Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili tupendane bila kikomo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ili unibemende eeeh!!
Uji ulinishindaa aisee kusoma kote hukoo!hapana nilikua nakunywa chai au napiga ndefu!Watu tulikuwa tunatumia vindoo vidogo vile vya sabuni za unga [VISADO" au makopo yale ya peanut butter tulikuwa tunayaita "BANGALA"....
Yaani ukimaliza uji hapo vipindi vyote vinavyofuata hapo baada ya breaktime ni usingizi wa kufa mtu aisee....
Yaan mi hata nilale siku nzima ,wengine hukosa usingizi lakin mi ikifika saa 4 usiku kama sina mtoko nalala usingizi kamwee
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]maisha ndo yalivyo bila kufake hayaendi!!
[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]ili tupendane bila kikomo
Siku nafuata uji nikaungua.. kuanzia hapo nikaachana nao. Kwanza nilikua nikinywa halafu aingie mwalimu wa Physics nalala mpaka nasahau kama niko darasaniUji ulinishindaa aisee kusoma kote hukoo!hapana nilikua nakunywa chai au napiga ndefu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji23] hapana looNa alipokamatwa akaamua kujifukuzisha shule mwenyewe bila shuruti kuogopa kichapo cha wanafunzi wenye hasira kali wakiongozwa na humble african ...kiranja wa usafi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha wale Wapishi!!Tulikua tunaingia jikon usiku tunapika wali siku tuliyodakwa na anko hatukua na namna zaidi ya kumkaribisha hadi tunaondoka alitupa kazi ya kumpikia pilau kila usiku hadi namaliza six sitosahau uroho .... Na ulafi jaman dah
ntakutana nako diploma, kwa akili ya kawaida kabisa mtoto mzuri kama huyu atatoboa Necta!?.. Hawa wa kuanza Diploma hakajajua tu!!..hahahaaa acha nikae tu nakina chige wewe TO kumpata huyo mtoto umebahatisha" tu hao sisi ndio asali yao soon twakupora aiseee" angalia mtihani wa form six unakuja huo usije uka disco tu" na yule mzee wako alivyokuwa mtata" jiandae mapema kutafuta pakukimbilia
Nakataaa sio wewee!umehakiwaaU-asha kisomo nilikuwa si haba teh
Kitu ambacho sikuwahi kukielewa ni kwamba levels zote nilizozisoma, baada ya muda kupita nimeanza kuzoeana na watu, majority walikuwa wananiambia hawakutegemea kama ntamaliza shule salama bila kufukuzwa au supp/disco chuo. Sura yangu imekaa kimatukio matukio sana eti,so they were expecting the worst from me. Mwisho wa siku nilijikuta nina marafiki wengi mnoo, baada ya wengi kuona I was different from mtu waliyekuwa wanamuwazia. Na hata leo baadhi ya watu wananionaga nimeshindikana mweeh.
Kanisani nilikuwa yule kiongozi mcharuko. Wapendwa wote wanasalimiana kipendwa, mimi sometimes nilikuwa naitikia "pouwah " mweeh. Baadaye ndo nikaja kuzoea sasa (aibu naona mimi)
Mambo ... Naonba nije pm kuna jambo nataka nkueleze[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji23] hapana loo
saa 10 jioni rudi darasani tusikilize wote, hakuwagi na watu form 3 C kule!..Njoo niko na nyimbo mupyaaaa
Nakataaa sio wewee!umehakiwaa