JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Wale Joni visomo wa debate wasingekosekana...
Why education is better than money
My name is ngabu I come from form one B
Education is better than money because if you get educated sorry I repeat again [emoji87][emoji23]... If you get education you can use zat education to find a job, and after getting zat job you get money which can help you buy many many sings... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] NN na Kiranga wazeee wa debate!! Nimechekaaa balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sie mabweni yalikuwa yanafungwa na na viranja wa mabweni sasa mmoja alikuwa rafiki yetu ikifka siku hatutaki kwenda class anatufungia nje na kufuli tunalala weee ikitokea msala tunaingia kwenye malocker tunafungiwa na makufuli ,ukiliona loka ni dogo unakaa style mpaka unatoshaa,wakichelewa kukufungulia unatoka humo hoiiiiii
Hahaa matron wetu alikuwa anakagua ndio anafunga ila alikuwa hakuti mtu, kuna watu walikuwa wanakuja school na mabegi makubwa ukiingia humo huonekani, aiseee yalitukoma mabegi yale. Maana n mwendo wa kutoa mavitu kuweka mvunguni alafu wenyew ndan ya begi. Siku ukikosa begi jiandae kwenda prepo hahaaa
 
Mama sabrina umetisha kwa habari hizo za kufungiwa kwenye locker wakati wa prepo.

Ila maisha ya boarding yana raha yake.
Natamani ungeona hilo kabati lina sehemu nne kila mtu anapewa upande mmoja mmoja ili kuweka vitu vyako,unaingia kwa kutanguliza mguu kule yaan unapanua mapaja na unaingia na chupi na bra ili usibanane sanaa na ujichanue vyema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kalikuwa ni kazoezi nakuambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa matron wetu alikuwa anakagua ndio anafunga ila alikuwa hakuti mtu, kuna watu walikuwa wanakuja school na mabegi makubwa ukiingia humo huonekani, aiseee yalitukoma mabegi yale. Maana n mwendo wa kutoa mavitu kuweka mvunguni alafu wenyew ndan ya begi. Siku ukikosa begi jiandae kwenda prepo hahaaa
Sisi watu walikuwa wanajificha hadi kwenye deka juu kama mwembamba lakin analala na haonekaniiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hukai na mabro wa Advance kina Malcom unakaa na wahuni wapenda music kina chige unategemea nn!, mwenzio nateleza tu!.[emoji23]
Watoto wa kihuni na tunamega kihuni vilevile... tena enzi hizo; ujiko gani uliokuwa unahitaji zaidi ya mic na michano ya ki-gangster?! Mungu bhana, cjui kwanini tunazeeka, I miss those old days na michano ya Kinyamwezi... au sijui niwe kama Le Mutuz tu!!!!!
 
hahahaaa acha nikae tu nakina chige wewe TO kumpata huyo mtoto umebahatisha" tu hao sisi ndio asali yao soon twakupora aiseee" angalia mtihani wa form six unakuja huo usije uka disco tu" na yule mzee wako alivyokuwa mtata" jiandae mapema kutafuta pakukimbilia
Acha aendelee kukaa na wanoko wenzake akina Malcom Lumumba ambao ambao stori zao, mara oh, Nguni Speaking People... mara sijui Matebele kufanya nini sijui... aaaaaaaargh!!! Wataishia kuji-mix na watoto wa Gisenyi Secondary School!
 
Watoto wa kihuni na tunamega kihuni vilevile... tena enzi hizo; ujiko gani uliokuwa unahitaji zaidi ya mic na michano ya ki-gangster?! Mungu bhana, cjui kwanini tunazeeka, I miss those old days na michano ya Kinyamwezi... au sijui niwe kama Le Mutuz tu!!!!!
Hahahh!!... nyuma ya daftari kuna michano ya kufa mtu.
 
Watoto wa kihuni na tunamega kihuni vilevile... tena enzi hizo; ujiko gani uliokuwa unahitaji zaidi ya mic na michano ya ki-gangster?! Mungu bhana, cjui kwanini tunazeeka, I miss those old days na michano ya Kinyamwezi... au sijui niwe kama Le Mutuz tu!!!!!
bwahahaahaha
 
Back
Top Bottom