kazi hii ya kizalendo nadhan ni muhimu zaidi kama mTanzania kuifanya kwa maslahi mapana ya Taifa.Tafuta kazi chawa wewe.
Una survive kwa kulamba miguu ya watu.Halafu unajikuta Gentleman.
Kumbe ni Halfwit bastard.
Phooool.
Hawajui vizuri wanasiasa huyo dogo. Watamtumia kisha wakimaliza shida zao watamtupa kama uchafu.Tafuta kazi chawa wewe.
Una survive kwa kulamba miguu ya watu.Halafu unajikuta Gentleman.
Kumbe ni Halfwit bastard.
Phooool.
Huyo Samia anakujua wewe UVCCM Singida vijijini??.. Wanasiasa wakimaliza kukutumia watakutupa kama uchafu. I'm speaking from my personal experience..kazi hii ya kizalendo nadhan ni muhimu zaidi kama mTanzania kuifanya kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ni muhimu tukaungana as JF team, lakini pia as JF family kwenda na Dr.Samia Suluhu Hassan come Oct 2025,
ama kuna tatizo gentleman π
kazi hii ya kizalendo nadhan ni muhimu zaidi kama mTanzania kuifanya kwa maslahi mapana ya Taifa.Tafuta kazi chawa wewe.
Una survive kwa kulamba miguu ya watu.Halafu unajikuta Gentleman.
Kumbe ni Halfwit bastard.
Phooool.
Kazi za kizalendo hutumiwi na mtu, bali ni kulitumikia Taifa na waTanzania pekeee,Huyo Samia anakujua wewe UVCCM Singida vijijini??.. Wanasiasa wakimaliza kukutumia watakutupa kama uchafu. I'm speaking from my personal experience..
Wewe acha zako.kazi hii ya kizalendo nadhan ni muhimu zaidi kama mTanzania kuifanya kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ni muhimu tukaungana as JF team, lakini pia as JF family kwenda na Dr.Samia Suluhu Hassan come Oct 2025,
ama kuna tatizo gentleman π
Safi sana. Twende na mama.Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct 2025, nashauri JF as team and united family, tusifanye makosa. Tuambatane na kuandamana pamoja kwa umoja na Dr.Samia Suluhu Hassan anapokwenda kuchukua nafasi kwa ngwe yake ya pili ya uongozi wa Taifa letu.
Amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi kifupi sana. Ameliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa mengine, na kwakweli
dhamira na nia yake njema viko wazi kwa waTanzania na dunia nzima.
Mipango mikakati yake makini na madhubuti ya amani na usalama kwa maslahi ya waTanzania wote, nayo inaonekana wazi pia.
Ni wazi mama anaaminika na anakubalika kila kona ya nchi bila kificho, wewe ni nani hata ushupaze shingo kukaidi hilo?. Labda uwe na chuki binafsi tu ndiyo unaweza usikubaliane na ukweli huo. Lakini kwa ujumla atakaetuvusha salama kama taifa mpaka 2030, ni Dr.Samia Suluhu Hassan pekee.
Msingi wa amani, utulivu, umoja, ulinzi na usalama wa watu, makazi na mali za watu na taifa letu ni uwekezaji wa kutosha wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika ulinzi wa mipaka yetu.
waTanzania na wazalendo jasiri wote wako upande wa Dr Samia Suluhu Hassan π
Mungu Ibariki Tanzania
Wewe unafanya uzalendo wa bure, ila wenzako wanakutumia wewe kuingiza pesa. Mimi pia miaka kadhaa nyuma nilikuwa kama wewe mdogo wangu. Wanasiasa wanakupotezea tu muda..Kazi za kizalendo hutumiwi na mtu, bali ni kulitumikia Taifa na waTanzania pekeee,
kinyume cha hapo ni utumwa kama experience unayodai unayo.
that is completely useless and completely nonsense π
Lipo jingine linaitwa Lucas Mwashambwa linakichwa kama cha kumbikumbi wa Mbozi.Wewe ndiye zezeta ambao Tanzania inao. Hakuna mwenye akili timamu anaweza mchagua huyo zaidi chizi na jinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
We chizi tuende pamoja wapi? Yaani kwa yule dalali wa mali zetu WATANGANYIKA?gentleman,
kua huru kutoa maoni yako kwa haki na uwazi,
huenda kutukana ndio umeona ni haki yako, be free kwa faifa ya wadau, but zingatia na uyashike mawaidha ya msingi hapo juu ili Oct 2025 twende pamoja gentleman, right?π