Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
umekurupuka na masuala yako ya ubaguzi wa kidini na kijinsia tena gentleman, dah πSijui labda katikati na Baadae mambo yaharibike saaaaaana "π€£π€£πππ΄π΄
By Jakaya Mrisho Kikwete.
2025 Samia Bye bye, Rais ni Mkristu, Mkatoliki na ni Mwanaume
vitimbankwiri mnapeana moyo sio dah π€£,Lipo jingine linaitwa Lucas Mwashambwa linakichwa kama cha kumbikumbi wa Mbozi.
Yes gentleman,Wewe unafanya uzalendo wa bure, ila wenzako wanakutumia wewe kuingizwa pesa. Mimi pia miaka kadhaa nyuma nilikuwa kama wewe mdogo wangu. Wanasiasa wanakupotezea tu muda..
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct 2025, nashauri JF as team and united family, tusifanye makosa. Tuambatane na kuandamana pamoja kwa umoja na Dr.Samia Suluhu Hassan anapokwenda kuchukua nafasi kwa ngwe yake ya pili ya uongozi wa Taifa letu.
Amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi kifupi sana. Ameliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa mengine, na kwakweli
dhamira na nia yake njema viko wazi kwa waTanzania na dunia nzima.
Mipango mikakati yake makini na madhubuti ya amani na usalama kwa maslahi ya waTanzania wote, nayo inaonekana wazi pia.
Ni wazi mama anaaminika na anakubalika kila kona ya nchi bila kificho, wewe ni nani hata ushupaze shingo kukaidi hilo?. Labda uwe na chuki binafsi tu ndiyo unaweza usikubaliane na ukweli huo. Lakini kwa ujumla atakaetuvusha salama kama taifa mpaka 2030, ni Dr.Samia Suluhu Hassan pekee.
Msingi wa amani, utulivu, umoja, ulinzi na usalama wa watu, makazi na mali za watu na taifa letu ni uwekezaji wa kutosha wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika ulinzi wa mipaka yetu.
waTanzania na wazalendo jasiri wote wako upande wa Dr Samia Suluhu Hassan [emoji205]
Mungu Ibariki Tanzania
JF ni jukwaa huru linaloundwa na watu wa mirengo mbali mbali. Hivyo hatuwezi kuwa na mtazamo mmoja wa kumchagua Samia mwaka huu.Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct 2025, nashauri JF as team and united family, tusifanye makosa. Tuambatane na kuandamana pamoja kwa umoja na Dr.Samia Suluhu Hassan anapokwenda kuchukua nafasi kwa ngwe yake ya pili ya uongozi wa Taifa letu.
Amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi kifupi sana. Ameliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa mengine, na kwakweli
dhamira na nia yake njema viko wazi kwa waTanzania na dunia nzima.
Mipango mikakati yake makini na madhubuti ya amani na usalama kwa maslahi ya waTanzania wote, nayo inaonekana wazi pia.
Ni wazi mama anaaminika na anakubalika kila kona ya nchi bila kificho, wewe ni nani hata ushupaze shingo kukaidi hilo?. Labda uwe na chuki binafsi tu ndiyo unaweza usikubaliane na ukweli huo. Lakini kwa ujumla atakaetuvusha salama kama taifa mpaka 2030, ni Dr.Samia Suluhu Hassan pekee.
Msingi wa amani, utulivu, umoja, ulinzi na usalama wa watu, makazi na mali za watu na taifa letu ni uwekezaji wa kutosha wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika ulinzi wa mipaka yetu.
waTanzania na wazalendo jasiri wote wako upande wa Dr Samia Suluhu Hassan π
Mungu Ibariki Tanzania
Ni aibu mno sasa hatuwezi kamwe kumchagua mtu mwenye skendo za ubakwaji.Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct 2025, nashauri JF as team and united family, tusifanye makosa. Tuambatane na kuandamana pamoja kwa umoja na Dr.Samia Suluhu Hassan anapokwenda kuchukua nafasi kwa ngwe yake ya pili ya uongozi wa Taifa letu.
Amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi kifupi sana. Ameliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa mengine, na kwakweli
dhamira na nia yake njema viko wazi kwa waTanzania na dunia nzima.
Mipango mikakati yake makini na madhubuti ya amani na usalama kwa maslahi ya waTanzania wote, nayo inaonekana wazi pia.
Ni wazi mama anaaminika na anakubalika kila kona ya nchi bila kificho, wewe ni nani hata ushupaze shingo kukaidi hilo?. Labda uwe na chuki binafsi tu ndiyo unaweza usikubaliane na ukweli huo. Lakini kwa ujumla atakaetuvusha salama kama taifa mpaka 2030, ni Dr.Samia Suluhu Hassan pekee.
Msingi wa amani, utulivu, umoja, ulinzi na usalama wa watu, makazi na mali za watu na taifa letu ni uwekezaji wa kutosha wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika ulinzi wa mipaka yetu.
waTanzania na wazalendo jasiri wote wako upande wa Dr Samia Suluhu Hassan π
Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman,Familia moja unajua mimi nimekula nini mchana huu? Usilazimishe udugu.
ni muhimu zaidi wale wazalendo wa JF ambao wako tayari kuungana na Dr.Samia Suluhu Hassan kwaajili ya kazi ya maendeleo ya wananchi na waTanzania wote kujumuika pamoja na kusonga mbele kwa umoja come Oct 2025,JF ni jukwaa huru linaloundwa na watu wa mirengo mbali mbali. Hivyo hatuwezi kuwa na mtazamo mmoja wa kumchagua Samia mwaka huu.
Huko tanganyika hakuna wanaume wa kugombea urais?Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oct 2025, nashauri JF as team and united family, tusifanye makosa. Tuambatane na kuandamana pamoja kwa umoja na Dr.Samia Suluhu Hassan anapokwenda kuchukua nafasi kwa ngwe yake ya pili ya uongozi wa Taifa letu.
Amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi kifupi sana. Ameliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa mengine, na kwakweli
dhamira na nia yake njema viko wazi kwa waTanzania na dunia nzima.
Mipango mikakati yake makini na madhubuti ya amani na usalama kwa maslahi ya waTanzania wote, nayo inaonekana wazi pia.
Ni wazi mama anaaminika na anakubalika kila kona ya nchi bila kificho, wewe ni nani hata ushupaze shingo kukaidi hilo?. Labda uwe na chuki binafsi tu ndiyo unaweza usikubaliane na ukweli huo. Lakini kwa ujumla atakaetuvusha salama kama taifa mpaka 2030, ni Dr.Samia Suluhu Hassan pekee.
Msingi wa amani, utulivu, umoja, ulinzi na usalama wa watu, makazi na mali za watu na taifa letu ni uwekezaji wa kutosha wa Dr.Samia Suluhu Hassan katika ulinzi wa mipaka yetu.
waTanzania na wazalendo jasiri wote wako upande wa Dr Samia Suluhu Hassan π
Mungu Ibariki Tanzania
Asitufanye tupigwe ban mwanzo wa mwakaMkuu usitufanye tutukane bure
kwahiyo kumbe ulipitia utumwa gentleman π€£Hawajui vizuri wanasiasa huyo dogo. Watamtumia kisha wakimaliza shida zao watamtupa kama uchafu.
Mimi nimejifunza kupitia CCM. Nilikuwaga mjinga kama huyo dogo kwa kujiona mimi pia ni patriot na sehemu ya Tanzania.
Nilipigwa na kitu kizito, nikaachana nao moja kwa moja..