ila jamaa yuko adicted sana na kubeti,
bila ya hiyo kitu alikua kijana mzuri tu gentleman,
hata hivyo,
ile ya maana zaidi ni wadau wa JF kuungana na Dr.Samia Suluhu Hassan come Oct.2025, nimefurahi sana
wacha waisome namba itapendeza zaidi,Tuwekee wimbo wa kasongo yeye kwanza alafu ndo tuanze fikiria ombi lako,
Alafu mkuu uyo Nduguyo Lucas Mbona siku izi ameacha kububujikwa na machozi yatakua yamekauka nini ?
Gentleman,Watu hawana shinda kabisa kama chaguzi ni za haki ndiyo maana wanachopigania ni sheria kwanza. Hatupingi watu bali sheria nzuri na kama mtu awe Mama Samia au mwingine anashinda kwa kufuata haki na demokrasia hakuna mtu anashida yeyote. Lakini kwenye mazingira ya sasa ya Polisi na usalama wa taifa kuiba chaguzi tutapigania mpaka mwisho kwa faida ya nchi
We unaumwa nenda katibiweWewe ndiye zezeta ambao Tanzania inao. Hakuna mwenye akili timamu anaweza mchagua huyo zaidi chizi na jinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Gentleman,
nikuhakikishie tu kwamba uchaguzi mkuu Tanzania wa oct.2025 utakua huru, wa wazi na wa haki kuliko chaguzi zote zilizowahi kufanyika Tanzania.
usipange kukosa kushiriki uchaguzi huu wa kihistoria kuepuka kujuta baadae.
hata hivyo,
tafadhali sana as JF team ni muhimu kuungana na kumuunga mkono Dr.Samia Suluhu Hassan come oct.2025
Gentleman,Mabadiliko ya sheria kwanza ni muhimu. No reforms no elections. Serikali za mitaa chaguzi walisema hivyo na matokeo yake nimeona makundi ya haki na mpaka makanisa! Yamesikitishwa na chaguzi. Yaani ni bora tusiwe na chaguzi kuliko kuwa na chaguzi biła mabadiliko. Ni mchakato tuko tayari kupigana
Gentleman,
uchaguzi wa Tanzania uanafanyika kwa mujibu wa katiba, na imekua hivyo kwa miaka mingi,
uchaguzi wa Tanzania haufanyiki kwa mujibu wa nani anao sheria gani ina tatizo au mihemko binafsi, wanaharakati, taasisi za dini au mataifa ya nje.
suala la uchaguzi kufanyika Tanzania ni lazima, na sio eti bora tusiwe na uchaguzi sijui tufanye nini huko, huko kutakua ni kunajisi katiba ya nchi.
Na kwahivyo,
ni muhimu sana kwa Jf kuunga mkono jitihada za Dr.Samia Suluhu Hassan come oct.2025
Bila shaka umeandika ukiwa na vile vitu vyako kichwaniWewe na wajinga wenzio mkimchagua inatosha
Vipi ndiyo umetoka driving school muda huu?Bila shaka umeandika ukiwa na vile vitu vyako kichwani
Wanasiasa wakimaliza kukutumia watakutupa kama uchafu. I was more patriot than you my little brother. Fursa zote watawapa watoto wao na ndugu zao mkuu. Wee haya tu.Ni Muhimu sana kwa watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua kuhakikisha ya kuwa tunamuunga mkono Rais Samia kuendelea kutuongoza watanzania kwa awamu ya pili.
gentleman,Wanasiasa wakimaliza kukutumia watakutupa kama uchafu. I was more patriot than you my little brother. Fursa zote watawapa watoto wao na ndugu zao mkuu. Wee haya tu.
CC: Tlaatlaah