Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 141
I sincere thank you if your observations in this has made any impact.
What is wrong with this concept, if not sentence?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I sincere thank you if your observations in this has made any impact.
Bw. Mtsimbe, TPN imeajiri wafanyakazi wanne, kwa maelezo yako inawaipa mshahara.Swali: je mishahara ya wafanyakazi hao ni kiasi gani?na je wewe ni mmoja wa wafanyakazi hao?ni masaa mangapi kwa wiki wafanyakazi hao hufanya kazi za TPN?Kwa kifupi majukumu yao ni nini?
Asante.
Asante GM, neno MZALENDO limekuwa likitumika zaidi kama title ya mwanzo ya mwanachama au shabiki yeyote wa TPN kama vile vyama vingine vinavyopenda kutumia title ya MHESHIMIWA.
Maana halisi ya neno MZALENDO ni mtu anayejali utaifa, mwenye uchungu na nchi. Actually kwa kiingereza lina maana ya PATRIOTIC au NATIONALIST.
Imekuwa ni vema zaidi kutumia title hii kuliko ile ya MZAWA ambayo kisiasa imekuwa ikileta hisia a kibaguzi. MZALENDO halibagui mtu.
Kwa kutumia title ya MZALENDO mnaonyesha umoja wenu katika kujali maslahi ya nchi.
Hakuna kiongozi yeyote wa TPN anayekuwa addressed kwa kuitwa MHESHIMIWA haijalishi kama ni Rais, Katibu Mkuu, Treasurer au Kiongozi yeyote wa Executive Committee. Wote hawa wanatumia title MZALENDO.
Kuna baadhi ya Waheshimiwa halisi kwa maana ya Mawaziri na Wabunge na Viongozi wa Vyama vya kiraia na kisiasa ambao huwa wanahudhuria mikutano ya TPN. Kuleta zana sawia ya kujali taaluma zote, huwa nao tunawa-address kwa kutumia title ya MZALENDO badala ya ile ya MHESHIMIWA. Tunadhani kuwa katika Wanataaluma neno Mheshimiwa linaleta matabaka ya wenye vyeo na wasio na vyeo vitu ambavyo si vigezo katika TPN. Na ukizingatia hali halisi ya mwenendo wa mambo Tanzania, MZALENDO could just be the best title.
Ungekuwa mtego ungesema "ogopa yahke...Hili ni tego ndugu yangu. Unaweza kunaswa na hofia." Halafu ungecheka?
Linaweza kuwa tego vile vile, for all I can smell.
Watu wamekuwa wowed kwamba wewe ni kiongozi mzuri kwa sababu huwaki waki, unatumia diplomatic poise. Hata Kikwete nae hawaki waki. Mzee ana hulka ya kucheka cheka yule. Anamshinda hata Nyerere na Mkapa kwa temperament ya kutofoka foka na kutukana tukana. Lakini hiyo ni kama wajibu wa Kiongozi. Unategemewa uwe hivyo. Hupati shada la maua kwa kuwa even-tempered, hususan Riasi wa chama. Lakini, kwa hilo, umewateka watu hapa.
Chama chako kinaweza kuwa tego kwa sababu "Chama cha Wasomi na Mashirika" hakiwezi kuwa na Katiba imeandikwa kana kwamba ni ya kikundi cha Sindimba cha watoto. Inajipinga kila mahala. Na Raisi wake anashindwa kuielezea. Unakubali Katiba imepinda halafu unaitetea. Hai make sense. Huwezi kuwa na Katiba ina clause moja inafuta clause mbili za juu yake, tena kuhusu kitu rahisi kama nani anaweza kuwa Mwanachama.
Hicho chama ni cha Watalaam kweli? Kuna mainjiani, na waalimu, na madaktari, na wajenzi, na wachumi, na wanamuziki, na wahasibu, na manesi, na wafanyabiashara, na polisi humo kweli?
Au ni usanii?
I sincere thank you if your observations in this has made any impact.
What is wrong with this concept, if not sentence?
Sanctus,
Kwanza naomba msamaha kama maswali nitakayouliza yameshaulizwa au kuzungumziwa kwenye kurasa zilizopita. Duh maana kurasa ni nyingi sana kuanza kuzisoma....
Anyway, mimi maswali yangu ni :-
1. Hii TPN imejizatiti kiasi gani katika the all corporate politics nchini mwetu? Labda nifafanue swali katika njia nyepesi zaidi, je memba wa TPN wanaweza ku-mention "proudly" uwanachama wao wa TPN kwenye interview as a way ya ku-show how professional they are? In other words, je TPN inaweza kuongeza nguvu ya kuvutia recruiters ikiwa listed kwenye CV?
2. Je TPN ina provide some sort of recommendations kwa wanachama wake ambao wako kwenye job hunting, seek profession advancement, et al..?
3. Je TPN ina provide career mentoring kwa wanachama ambao pengine wana seek mabadiliko katika professions zao?
Ni hayo tu kwa sasa hivi....
hiki "chama cha wasomi na mashirika" mbona mimi sijaiona hiyo clause? wewe waitoa wapi?
Katika kushawishi na kujibu hoja nimekukubali mzee. Ni mategemeo yangu kwamba sifa hii inafanana na utendaji kazi wako ulivyo.
Upatapo muda siku nyingine utueleze kwa mifano hayo *mafanikio ya mwaka mmoja unayoyazungumzia. Itasaidia sana kushawishi vichwa ngumu kama mimi.
Asante.
NB: *Mafanikio kwa members
.
Asante kwa majibu yako.
Kuhusu kuachiliwa JF, usijali ukitoka hapa utatoka na digrii ya juu ya utetezi wa hoja kutoka chuo kikuu cha JF!
Kila la kheri kwenye mabadiliko ya katiba-ni muhimu sana.
Presdent Mtsimbe,
How does TPN view the whole issue of East African integration and harmonization of labor laws?
Agreed Pundit;
It is even more dissapointing when a few can conclude ones intention [and reduce them to size] without asking themselves why one is thinking that way? the point we have to note always is how one asks questions... I read the thread and i know who I was targeting; from questions you can learn walio skeptics, positives, ignorants, radicals as well as people like you!!
Nimetingwa sana. Nikipata nafasi nitachangia mawazo yangu kikamilifu. Lakini nimeona nia ni nzuri sana maana ni katika harakati za kuzidi kutufungua watanzania na kutusogeza hatua moja mbele. Mimi kitu chochote hukiangalia positively kwanza kabla sijakitafutia kasoro. I always give the benefit of doubt to any noble cause, such as this one!
I guess maswali yangu yana fall hapo kwenye bold. Maana naona yamechuniwa... lol
Huko unampeleka mbali mno.
Kwani yeye expert wa labor migration and regional economic disparity?
Yeye anatakiwa kuwa expert wa Katiba yao. Na kashindwa kuekeza au kukubali kinaga ubaga kwamba Clauses za Uanachama, 3.1.1, 3.1.2 na 3.1.3 ni vituko, hazijaandikwa ki "sound mind" kama wanavyotaka wanachama wao wawe. Clause 3.1.3 inafuta hizo mbili zingine!
Rais Mtsimbe ajiuzulu.
Ungekuwa mtego ungesema "ogopa yahke...Hili ni tego ndugu yangu. Unaweza kunaswa na hofia." Halafu ungecheka?
Linaweza kuwa tego vile vile, for all I can smell.
Watu wamekuwa wowed kwamba wewe ni kiongozi mzuri kwa sababu huwaki waki, unatumia diplomatic poise. Hata Kikwete nae hawaki waki. Mzee ana hulka ya kucheka cheka yule. Anamshinda hata Nyerere na Mkapa kwa temperament ya kutofoka foka na kutukana tukana. Lakini hiyo ni kama wajibu wa Kiongozi. Unategemewa uwe hivyo. Hupati shada la maua kwa kuwa even-tempered, hususan Riasi wa chama. Lakini, kwa hilo, umewateka watu hapa.
Chama chako kinaweza kuwa tego kwa sababu "Chama cha Wasomi na Mashirika" hakiwezi kuwa na Katiba imeandikwa kana kwamba ni ya kikundi cha Sindimba cha watoto. Inajipinga kila mahala. Na Raisi wake anashindwa kuielezea. Unakubali Katiba imepinda halafu unaitetea. Hai make sense. Huwezi kuwa na Katiba ina clause moja inafuta clause mbili za juu yake, tena kuhusu kitu rahisi kama nani anaweza kuwa Mwanachama.
Hicho chama ni cha Watalaam kweli? Kuna mainjiani, na waalimu, na madaktari, na wajenzi, na wachumi, na wanamuziki, na wahasibu, na manesi, na wafanyabiashara, na polisi humo kweli?
Au ni usanii?
What is wrong with this concept, if not sentence?
Hii kiboko....yaani kujiuzulu mara hiii?!
Bw. Mtsimbe, TPN imeajiri wafanyakazi wanne, kwa maelezo yako inawaipa mshahara.Swali: je mishahara ya wafanyakazi hao ni kiasi gani?na je wewe ni mmoja wa wafanyakazi hao?ni masaa mangapi kwa wiki wafanyakazi hao hufanya kazi za TPN?Kwa kifupi majukumu yao ni nini?
Asante.