Yes Jirani, I willWill you be my Valentine?
Happy Valentine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Jirani, I willWill you be my Valentine?
Usiombe penzi asiombe pesaNini kifanyike?
Jobless utatoa wapi hela ya kulisha madogo streetSiko kinyume, ila nita tembelea watoto wanao ishi maisha magumu mtaani.
👉Buy them some food and drinks, Kisha naishia zangu.
Jobless ana Elewa, jinsi ya kuishi na hoe hae wenzakeJobless utatoa wapi hela ya kulisha madogo street
Nakubali kiranja😆Jobless ana Elewa, jinsi ya kuishi na hoe how wenzake
Niite jobless mkuu, USI ogope kuni ambia ukweli wangu🤒Nakubali kiranja😆
Bora mie Single 🤣Naona tuanaanza kuikaribia ile siku ambayo mpenzi wako nae kaenda kwa mpenzi wake
We unaongelea wadangajiWengi wana mikono ya birika/omba omba, ata kama ana kazi. Dada zetu hamjui kutoa, mnajua kupokea tu.
Kwa hiyo ni kuuzianaUsiombe penzi asiombe pesa
Itapendeza zaidi kwa wale waliodumu kwa zaidi ya miaka 15 kwenye ndoa kama watawaheshimisha wake/waume wao kwenye hiyo siku.We unaongelea wadangaji
Ni tofauti kabisa na watu na wapenzi ,waume zao😅
YeahKwa hiyo ni kuuziana
nilikua natafuta comment yanguDr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂
Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
sawasawaItapendeza zaidi kwa wale waliodumu kwa zaidi ya miaka 15 kwenye ndoa kama watawaheshimisha wake/waume wao kwenye hiyo siku.
Mapenzi ya kushare matamu nyie acheni tuu.Naona tuanaanza kuikaribia ile siku ambayo mpenzi wako nae kaenda kwa mpenzi wake
hahahaha mapenzi ya africa ni utapelii tuNaona tuanaanza kuikaribia ile siku ambayo mpenzi wako nae kaenda kwa mpenzi wake
hapa sisi tupite kama tunaaga maitiwenye wapenzi uwanja ni wenu
🤣🤣🤣🤣nilikua natafuta comment yangu
Hatuna pesa sisi 🤣
🤣🤣🤣🤣una ufala mwingi sana ww hahaha