JF Ladies kuelekea #VALENTINE2024 ❤️

JF Ladies kuelekea #VALENTINE2024 ❤️

Wewe utakuwa umepungukiwa Hisia za upendo, ukimpenda mtu hata hizo sheria zenu za kitapeli ktk vikao vyenu lazima utazivunja ili umfuraishe umpendae, alafu ni nani aliwaambia Valentine ni kwaajili ya watu wenye mahusiano ya kimapenzi? Acheni uchoyo, tugawieni hizo zawadi msifiche pesa zenu mwisho mfe msahau hata kutia password za simu zenu kisa uchoyo nasemajeee, hizo zawadi tupeni tu
Haya tutawapa zawadi ya kuwapost WhatsApp ila mtuwekee bundle 😜
 
Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂

Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
Jamani Lamomy 🤣🤣🤣🤣🤣

Hata biscuit basi! Mwanahip-hop wako unaweza kumpelekea zile zenye mbogamboga!😉😁
 
Back
Top Bottom