JF Ladies kuelekea #VALENTINE2024 ❤️

Haya tutawapa zawadi ya kuwapost WhatsApp ila mtuwekee bundle 😜
 
Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂

Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
Jamani Lamomy 🤣🤣🤣🤣🤣

Hata biscuit basi! Mwanahip-hop wako unaweza kumpelekea zile zenye mbogamboga!😉😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…