Haya tutawapa zawadi ya kuwapost WhatsApp ila mtuwekee bundle 😜Wewe utakuwa umepungukiwa Hisia za upendo, ukimpenda mtu hata hizo sheria zenu za kitapeli ktk vikao vyenu lazima utazivunja ili umfuraishe umpendae, alafu ni nani aliwaambia Valentine ni kwaajili ya watu wenye mahusiano ya kimapenzi? Acheni uchoyo, tugawieni hizo zawadi msifiche pesa zenu mwisho mfe msahau hata kutia password za simu zenu kisa uchoyo nasemajeee, hizo zawadi tupeni tu
Eeee mahi si wenyewe wanasema sisi hatuna cha kuwa offer 😜[emoji38][emoji38][emoji38]khaaaa,,,kauli mbiu mwanamke tulia utunzwe
Shemejio mwana hip hop pen na daftari linamtosha aandike mistari 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️koh koh koh
Basi nawait zawadi jirani yangu [emoji39]Yes Jirani, I will
Happy Valentine
alafu aandae kapart kadogo tu akuimbie,wee itanogaShemejio mwana hip hop pen na daftari linamtosha aandike mistari 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ss hivi anaumiza kichwa kunitungia mistari ya valentine 🤣🤣🤣🤣alafu aandae kapart kadogo tu akuimbie,wee itanoga
raraa reree bana...😁😊Dr Lizzy u gave a 4 day gateway whaaaaaat as a jf boy nimeipenda hiyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nothing can bit that naaaaa waaaamseeiii
Jamani Lamomy 🤣🤣🤣🤣🤣Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂
Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
Unatafuna biscuit halafu vitu vya konde boy vinakuja.Jamani Lamomy 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata biscuit basi! Mwanahip-hop wako unaweza kumpelekea zile zenye mbogamboga!😉😁
[emoji849][emoji849]Bora mie Single [emoji1787]
Nitulie zangu
Mbinu za kujiepusha na sisi Marioo sio[emoji12][emoji12]Hatuna pesa sisi [emoji1787]
Na uzi ufungwe!Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂
Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
Aaah zawadi ni zile zile rafiki😂😂Huu uzi utakua mzuri sana..kunakujifunza hapa kitu ngoja nitulie
Hahahahaha...mie sina wakunipa zawadi hivyo sitarajii kupata chochote toka kwa yoyoteAaah zawadi ni zile zile rafiki😂😂
Msizichoke.
Aah rafiki weee kila siku wimbo wako ni huu huu!!Hahahahaha...mie sina wakunipa zawadi hivyo sitarajii kupata chochote toka kwa yoyote