Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahaha... ndio hivyo rafiki, ahsante hako ka vest mpe kaka mkubwa nyumbani 😂😂😂Aah rafiki weee kila siku wimbo wako ni huu huu!!
Hebu ngoja nifanye namna upate hata kavest🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha... ndio hivyo rafiki, ahsante hako ka vest mpe kaka mkubwa nyumbani 😂😂😂Aah rafiki weee kila siku wimbo wako ni huu huu!!
Hebu ngoja nifanye namna upate hata kavest🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahahahahaha... ndio hivyo rafiki, ahsante hako ka vest mpe kaka mkubwa nyumbani 😂😂😂
Ndo hivyo[emoji849][emoji849]
Tulia utunzwe,Ukitunzwa Tunzika👌Dr uwe unahudhuria vikao.!!
Tulikubaliana wanawake wote hatuna pesa na hatujawahi kumiliki pesa..!! Sasa ww zawadi za magari pesa tunatoa wapi???
Eti mwenyekiti?? Joannah 😂😂😂😂
Kauli mbiu ya chama ;Mwanamke tulia utunzwe
wacha weeSs hivi anaumiza kichwa kunitungia mistari ya valentine 🤣🤣🤣🤣
Sina babe na mjua huu mjua huu wa dar, leso muhimu.Babe kwani una leso?
Canabbis ikikaa tena kwenye mirija ya kuruhusu maji ya utamu kutoka kwenye MBUPU.. unajikuta mahaba yananoga mnabadili viwanja tu, mara kitandani, sebuleni, jikoni, bafuni, kwenye sofa, bustanini 😘 mwendo mchibuyuMhuuu!😁😁
Hapo lazima mahaba yaongezeke.
HahahahahaCanabbis ikikaa tena kwenye mirija ya kuruhusu maji ya utamu kutoka kwenye MBUPU.. unajikuta mahaba yananoga mnabadili viwanja tu, mara kitandani, sebuleni, jikoni, bafuni, kwenye sofa, bustanini 😘 mwendo mchibuyu
Basi tulia.Sina babe na mjua huu mjua huu wa dar, leso muhimu.
Jangwani(mwenye ukame) maji yana thamani kuliko dhahabu.
Ackson au tulia gani?Basi tulia.
Ackson au tulia gani?Basi tulia.
Sidhan kama nina cha kuongeza . Nafikir tukae kwa kutulia
View attachment 2897302
Nafikiri itabidi nisijinyime mwenyewe. Hii ni picha au vipogo kwel?View attachment 2898404
baby wako hawez kukunyima hiki
vipoNafikiri itabidi nisijinyime mwenyewe. Hii ni picha au vipogo kwel?
Kabisa mengine wacha yatupite, unaandaa gift halafu mamsap anaenda kupewa gift kwengine unabaki na gifts zako, au anakuja kuchukua gift halafu anaenda kulala na mamsap wake, ni utoto tu kama mtu hakupendi hata umpe roho yako ni kazi bureHii haituhusu singles[emoji16]
Sure mkuuHaving a partner who doesn't make a big deal about Valentine's Day is actually pretty awesome.