JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

Mimi nipo apa mwenge karibu na TRA nimemleta mrembo wangu hapa anyoe, sasa sikuwai kuja kabla nimekaa hapa tangu sa 9 mpaka now mtu ananyoa tu yani nimemind sana aisee....... hivi ndivyo siku yangu inavyoisha nikiwa bado nipo hapa
 
Mimi nipo apa mwenge karibu na TRA nimemleta mrembo wangu hapa anyoe, sasa sikuwai kuja kabla nimekaa hapa tangu sa 9 mpaka now mtu ananyoa tu yani nimemind sana aisee....... hivi ndivyo siku yangu inavyoisha nikiwa bado nipo hapa

Ahahaha wezaako wanajisev ww endelea kumsubiria
 
Ahahaha wezaako wanajisev ww endelea kumsubiria

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na sio kusubiri tu, kunyoa tu hapa na dawa anaweka ni elfu65 na rangi ya kucha ni elfu20 nimelipa alfu85[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na sio kusubiri tu, kunyoa tu hapa na dawa anaweka ni elfu65 na rangi ya kucha ni elfu20 nimelipa alfu85[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah kaka unachunika vizuri sijui nikupe namba ya kajala
 
Hahahah kaka unachunika vizuri sijui nikupe namba ya kajala

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana mkuu! Huyu msichana nakuelewaga sana..... alafu she is very humble aise, japo inawezekana kunq muhuni anakula ila fresh tu hakuna namna siwezi linda mwanamke mkuu
 
Back
Top Bottom