Nimecheka sanaπππKarib sana
Asante sana mom.My dada,
Najiona fahari kwa hiki ninachokisoma hapa
Asante jamani nakupenda sana sana sana
Hahaha na nn sasa?? Jaman usimfiche sana babu mwambie mjukuu wake nammiss sanaNimecheka sanaπππ
Hata sina cha kusema, wallah
kati ya majukwaa siingiagi ni hilo duuuuh!! Story napenda auntie sema mvivu kufuatilia. Nguvu nimehamishia kwenye series zaidi.Auntie unapendaga story wewe toka lini nazipigaga entertainment
sio kitu babeNini
Archduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,
Karucee nakukubali na kuvutiwa maandiko, nakiri nimesoma mada zako zote had siku unajiunga humu, nakupenda na kukubali sana ntakuja na Archduke utufundishe kingereza
Don Clericuzio, hope you know vile nakukubali wewe ni zaidi ya kaka kwangu
Sky Eclat napenda kusoma maandiko yako haswa jukwaa la madaktari, na pia vile ukichapiaga kwangu hua nburudan mana hua nacheka sana
steve mollel brother una kipaji nilianza kukusoma kimya kimya had meshindwa kuvumilia nimejitokeza hadharani kabisa usiache kutunga riwaya ni kipaji unacho
Mwifwa hahahhahaha nakupenda tu na kazi yako nna mpango wa kukupandisha cheo
mahondaw wewe ni mwanamke jasiri, umenifundisha kusimamia kile unaona ni sahihi hasa linapokuja swala la baby hahahhah
Asprin na Daby naachaje kuwasahau na coments zenu za kunichekesha mmekua watu wa kuniongezea siku za kuish kila nisomapo comments zenu
Tater hope you know ni jinsi gani nathamini mchango wako kule kwenye lile jukwaa letu
Slim5, BAK, Shunie Sesten Zakazaka, Hajar, Khantwe i miss you,
sumbai yo the best!!
Nawapenda na kuwakubali wengi siwez kuwamaliza kuwataja jaman
Mkumbatie kabisa niwapige picha
akijibu nitag
Hata mimi naonasio kitu babe
Sina simu mkuuNa maongezi nyeti na wewe?
kati ya majukwaa siingiagi ni hilo duuuuh!! Story napenda auntie sema mvivu kufuatilia. Nguvu nimehamishia kwenye series zaidi.
Aaamin, atutunze wote pia, we acha tu naona tangu ban zikufululize huku unetukimbia kabisa unaingia kwa kuibia[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] kupotea week tu umenimiss nakupenda Madame s Mungu akutunze
Usicheke sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naanzaje kuacha kukupenda eti?? Hujui tu ni namna gan moyo wangu umegubikwa na mahabba juu yako, am in lovetupendane mpenzi
sisemi sana
unywe maji sasa bebe umerap sanaArchduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,
Wow!! Mekua number one kwenye list ako honey
Thank you laazizi, nikianza kusema navutiwa na kipi kwako nitaandika pages na nisimaliza mambo yote yanayonipendeza kwako
Kikubwa,nakushukuru kwa muda wako, uaminifu wako na upendo wako kwa unayonifanyia, unanifanya nijione complete, Archduke nakupenda sanaa
Kwa vikwazo ninavyokumbana navyo lazima niwe mvumilivu sanapiga kazi