Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] kupotea week tu umenimiss nakupenda Madame s Mungu akutunze
 
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] kupotea week tu umenimiss nakupenda Madame s Mungu akutunze
Aaamin, atutunze wote pia, we acha tu naona tangu ban zikufululize huku unetukimbia kabisa unaingia kwa kuibia
 
unywe maji sasa bebe umerap sana

we appreciate you guys
 
Waliotajwa hapa ni wale wanaolala chitchat na kuamkia Mmu
Kweli nimeamini wambea wanajuana
 
piga kazi
Kwa vikwazo ninavyokumbana navyo lazima niwe mvumilivu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…