Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
Nope last seen yake ni hii🤔Mbona madam S kuna mitaa nimemuona humu leo 🧐
Basi itakuwa nimemconfuse.Nope last seen yake ni hii🤔
View attachment 2718281
We wenge lako tu🤒Tatizo wakili wangu ana dharura wiki hii ☺️☺️
Means una taarifa zake???Anakuja sooon
Long time hiyoo madamHata mie nimeona
Wanaouliziwa wote mara ya mwisho kuonekana ni july tu hapo
Yeahhh, au kabadili I'd??Basi itakuwa nimemconfuse.
Itakua kweli 🥴🥴We wenge lako tu🤒
Kweli nini??Itakua kweli 🥴🥴
Kuna huyu BAK sijamsikia muda mrefu sanaZime pita siku, wiki na Sasa miezi kadhaa ndugu zetu Hawa hawaonekani???.
👉Je wame badilisha I'd???,
👉Wazima au wagonjwa??
👉Wame amua kustaafu ??
View attachment 2718255
Tuachane nayo kwanza...soma comments za wadau huenda wanajua walipo...nimekunywa uji hapa nasinzia tu hadi nachanganya madesa😌😌🙌Kweli nini??
Na mi uji🤒Tuachane nayo kwanza...soma comments za wadau huenda wanajua walipo...nimekunywa uji hapa nasinzia tu hadi nachanganya madesa😌😌🙌
wakubwa hawanywagi uji☺️☺️Na mi uji🤒
Mkuu swali binafsi sana,🤒Mbali hz fake ID, unamjua
Mi Toto tu😁wakubwa hawanywagi uji☺️☺️
Sawa, karibu sanaMi Toto tu😁