JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

Ohhh Ume Anza kufukua makaburi[emoji848][emoji3]
Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,

@Demiss alikuwa anabebishana na mzee wetu Mshana Jr[emoji23]

Na nilikuwa nawafuatilia sana,na wale wa cc.....inasikitisha sana.

Nilikuwa nisipoingia jf nilikiwa nahisi homa,

Kuna mzee mmoja wa kuitwa pididy Sijui,

Kulikiwaga na yule wakuitwa DJ SEPETU,alikuwa ana Interview kule chit chat[emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,

@Demiss alikuwa anabebishana na mzee wetu Mshana Jr[emoji23]

Na nilikuwa nawafuatilia sana,na wale wa cc.....inasikitisha sana.

Nilikuwa nisipoingia jf nilikiwa nahisi homa,

Kuna mzee mmoja wa kuitwa pididy Sijui,

Kulikiwaga na yule wakuitwa DJ SEPETU,alikuwa ana Interview kule chit chat[emoji23][emoji23]

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Kumbe we wa kitambo kunizidi ee jf🤭
 
Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,

@Demiss alikuwa anabebishana na mzee wetu Mshana Jr[emoji23]

Na nilikuwa nawafuatilia sana,na wale wa cc.....inasikitisha sana.

Nilikuwa nisipoingia jf nilikiwa nahisi homa,

Kuna mzee mmoja wa kuitwa pididy Sijui,

Kulikiwaga na yule wakuitwa DJ SEPETU,alikuwa ana Interview kule chit chat[emoji23][emoji23]
Dah una onekana we mkubwa🤔, una miaka mingapi Sasa hivi??
 
Back
Top Bottom