To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
It's okay 🙏🙏🙏...... it' was already okay 👍Nilijua chanzo ni hichoo tu, but Iam sorry🙏.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's okay 🙏🙏🙏...... it' was already okay 👍Nilijua chanzo ni hichoo tu, but Iam sorry🙏.
Sema nawe una hasiraa😁It's okay 🙏🙏🙏...... it' was already okay 👍
Jf usiku wa manane, hivi kule mnachart nini[emoji23],sijawaigi hata kuingia.Acha hizo bhana[emoji3][emoji16]
Nimeshakuwa pimbi haya tutakutana tu uone fire yaani unaniita mie hili jina wewe kitambi , sura kama mchina ambaye hajaoga , unanuka kama nguruwe , ukilala unanguruma kama nguruwe pori, ndio maana unavaa mabwanga hadi leo, sura mbaya kama kenge mzee, unatembea kama mfilisti , ndio maana sura kama goliati , unavaa saizi moja na goliati , unakitambi cha inzi , ukienda chooni unasalimiwa na kupungiwa inzi . Unaongea kama chiriku juzi umefumaniwa ukawesha konzi la kichwa ukameza hadi kifuani kama unagoitaUna muamini 🤔, huyo pimbi Maua Unique Flower
Tume Angalia, ila ni kitambo Sana.Si uangalie last seen zao wote wawili upate majibu sahihi..... inawezekana wakiingia JF ww unakuwa haupo wakitoka ww unaingia
[emoji23][emoji23] ndiyo,jf nimeanza ifuatilia kitambo sana,nilikiwa natumia freebasic bure bila bando[emoji23]Kumbe we wa kitambo kunizidi ee jf[emoji2960]
Ila mi SI rafiki yako😪😪Nimeshakuwa pimbi haya tutakutana tu uone fire yaani unaniita mie hili jina wewe kitambi , sura kama mchina ambaye hajaoga , unanuka kama nguruwe , ukilala unanguruma kama nguruwe pori, ndio maana unavaa mabwanga hadi leo, sura mbaya kama kenge mzee, unatembea kama mfilisti , ndio maana sura kama goliati , unavaa saizi moja na goliati , unakitambi cha inzi , ukienda chooni unasalimiwa na kupungiwa inzi . Unaongea kama chiriku juzi umefumaniwa ukawesha konzi la kichwa ukameza hadi kifuani kama unagoita
Tahira kazini sura mbaya kama kabichi, ndio maana sauti yako inkwaruzana kwa ruzana na bado wewe ni mbeya, mchunguzaji wa familia za watuNilijua chanzo ni hichoo tu, but Iam sorry🙏.
Mie nina 34yrs.Dah una onekana we mkubwa[emoji848], una miaka mingapi Sasa hivi??
Na ma story yenu ya kwichi kwichi😁🏃🏃🏃🤣🤣Nimekuwa mvivu sana kule aisee
Sijaelewa mkuuIla mi SI rafiki yako😪😪
Shida uli saliti chama😁😁, Rudi mwizi mwenzetu😁Nakuja
Ananifurahishaga sana story zake huyu dada😂😂🤗Una muamini 🤔, huyo pimbi Maua Unique Flower
Nita kushtua sawa🤗
Oo woow! Vizuri mpenz[emoji23][emoji23] ndiyo,jf nimeanza ifuatilia kitambo sana,nilikiwa natumia freebasic bure bila bando[emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Sasa umeamuaje??Nime sikia une waambia kina Leejay49 Eti mi sio rafiki yako🤔
Dah Ume nikumbusha free basic aisee😁😁, hivi IPO bado??[emoji23][emoji23] ndiyo,jf nimeanza ifuatilia kitambo sana,nilikiwa natumia freebasic bure bila bando[emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app