Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNime sahau😁🤒
Dah mkubwa leo Ume smoke Nini🤔😁Waambie ukweli kuwa saizi wamekalia mijulubeng ya wenye hela ba hawawazi vikapuku vya JF.
Aisee 😂😂😂😂Waambie ukweli kuwa saizi wamekalia mijulubeng ya wenye hela na hawawazi vikapuku vya JF.
Furaha ipi😁😁, au Kuna Siri siijui🤔🏃Jf wote tupo single....ni wewe tu kujibanabana....humu jiachie update furaha bhana
Enzi hizo bhana,walikuwa wadau wakubwa jf, enzi wanaitana mkuu,We una lako Jambo[emoji16], Ume wajuaje??
Hehehe😃😃,, noted✍
I am smoking, I am drinking. I am suposed to stop but I can't. Nigga I am just living my life.Dah mkubwa leo Ume smoke Nini🤔😁
Dharau hizo 😁😁, sema Mwaka gani nambiee🤗Enzi hizo bhana,walikuwa wadau wakubwa jf, enzi wanaitana mkuu,
Sahizi mkiitana mkuu si mnakasirika[emoji23][emoji23]
cocastic ukimuita mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Ndio iko hivyo.Aisee 😂😂😂😂
Keep enjoying ma nigga 🤒I am smoking, I am drinking. I am suposed to stop but I can't. Nigga I am just living my life.
Kumbe,, nlikua sina taarifa ndo unanijuza hapa😃🤔Ndio iko hivyo.
I don't enjoy nigga I am just trying to be meKeep enjoying ma nigga 🤒
And that the biggest gift in life, just be yourself 🤒.I don't enjoy nigga I am just trying to be me
Mimi huwa taarifa zangu ngumu. I don't give a ràts titKumbe,, nlikua sina taarifa ndo unanijuza hapa😃🤔
Basi sawa 🤗Mimi huwa taarifa zangu ngumu. I don't give a ràts tit
🤣🤣🤣Si kama ivi kujiachia kuandika chochote ambacho ofisini I mean public huwez jiachia au kutamka.....humu hawakuangalii usoni....Kuna mtu anatukana ujingaujinga tu humu lakini kitaa kumbe ni Boss Kwa office na home wanamwita baba au mamaFuraha ipi😁😁, au Kuna Siri siijui🤔🏃
2010/2015Dharau hizo [emoji16][emoji16], sema Mwaka gani nambiee[emoji847]