JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

Hz fake ID zina mengi sana usikute unaemuulizia ana multiple ID, changamoto za kazi + ubize, kaamua kua offline kwa kipindi flan, labda kasafir maeneo alipo network haipo vzr, changamoto za kifamilia na mengn mengi
Ni kweli mkuu, hata Mimi soon Nita disappear 🤒
 
Back
Top Bottom