JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

🫣🫣🫣🫣 uteseke vipi.. si utamifundisha mambo mazuri banaa.. maana Intelligent businessman anasema una hatari sijui wapi na lini aliona hilo baraaaa
🤣🤣🤣🤣He is my best friend before you....sema tangu nimpate mahabuba nimelala sana jf......ngoja nilianzishe uone nilivyo na wavulana wengi kuliko wanaume🤒🙄
 
🤣🤣🤣🤣He is my best friend before you....sema tangu nimpate mahabuba nimelala sana jf......ngoja nilianzishe uone nilivyo na wavulana wengi kuliko wanaume🤒🙄
😅😅😅😅🫣🫣🫣🫣🫣... mie simo kwenye list ya wavulana.. au nikimbie jukwaaa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom