Jf members mpunguze uongo kidogo

Jf members mpunguze uongo kidogo

Kuna ule uongo wa story jukwaaa linaburudika kama story za mwamba mmoja anaitwa guDume hazina tatizo kabisa , Tatizo lipo kwa hawa madogo kuna mmoja nimekutana nae kwenye nyuzi za mambo ya Majeshi haswa pale JW linapojadiliwa kwa kudhihakiwa na yeye comment zake ni nyingi saana anaponda vibaya mnoo kwamba kazi ya kijinga na bla bla nyingi sawa sio tatizo ila tatizo linakuja tena namkuta jukwaa la ajira kwenye wa uzi wa ajira za polisi, magereza na zimamoto anatia huruma tena anauliza nafasi za JW Lini, lonja na taratibu ridiculous hahah sasa wakati mwingine huwezi amini Miujiza ipo mtu ana nafasi kabisa na hana wakumpeleka kwa kauli zako za kishenzi na ujuaji wa kijinga unapishana na ndoto
 
Kuna ule uongo wa story jukwaaa linaburudika kama story za mwamba mmoja anaitwa guDume hazina tatizo kabisa , Tatizo lipo kwa hawa madogo kuna mmoja nimekutana nae kwenye nyuzi za mambo ya Majeshi haswa pale JW linapojadiliwa kwa kudhihakiwa na yeye comment zake ni nyingi saana anaponda vibaya mnoo kwamba kazi ya kijinga na bla bla nyingi sawa sio tatizo ila tatizo linakuja tena namkuta jukwaa la ajira kwenye wa uzi wa ajira za polisi, magereza na zimamoto anatia huruma tena anauliza nafasi za JW Lini, lonja na taratibu ridiculous hahah sasa wakati mwingine huwezi amini Miujiza ipo mtu ana nafasi kabisa na hana wakumpeleka kwa kauli zako za kishenzi na ujuaji wa kijinga unapishana na ndoto
point 3 kwako!
 
Ukiwa muongo muongo hakikisha usiwe msahaulifu.
Na ukishajua uongo wa mtu,hupaswi kumstua.Ukimstua atakusumbua kwa kubadilisha mbinu.Hata hivyo,kama mtu anatoa stories za uongo ili kuifurahisha nafsi,yafaa nini kumkwaza?Aachwe afurahi.Nami nikijua hamsimangi mtu,namuunga mkono kwa komenti za komedi.😂😂😂😂😂
 
Njia ya mwongo always ni fupi
Mchane LIVE tupunguze idadi ya chai JF
 
Humu kuna chai kinoma leo mtu anaweza kukupa ushauri wa biashara ya magari na anakusisitizia yeye ndio biashara anayoifanya mpaka kajenga ghorofa mbili Mbezi,halafu wiki ijayo anajisahau anaanza kuulizia duka gani zuri kwa spare za guta lake analouzia maji gongo la Mboto maana limeharibika anashindwa kupata pesa ya kula!! Yaan vurugu tupu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni balaa na nusu
 
Huu uzi nimekuwa naupita tu bila kusoma content iliyomo ndani, hakika umejua kunifurahisha kwa kweli[emoji23][emoji23] Ndio maana Maxence Melo anashauri uwe na walau IDs mbili, moja ya kimasikini na uuvae umaskini, halafu nyingine uwe tajiri tena zaidi ya Mo Dewj na uuvae utajiri (Jokes) [emoji23][emoji23]
 
Humu kuna chai kinoma leo mtu anaweza kukupa ushauri wa biashara ya magari na anakusisitizia yeye ndio biashara anayoifanya mpaka kajenga ghorofa mbili Mbezi,halafu wiki ijayo anajisahau anaanza kuulizia duka gani zuri kwa spare za guta lake analouzia maji gongo la Mboto maana limeharibika anashindwa kupata pesa ya kula!! Yaan vurugu tupu
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23] Hadi nimelia na mafua juu
 
God is good all the time, All the time....(don moen).

Humu ndani kuna vijana wanatupiga za uso nyingi sana. Mpaka sasa nimeshawakariri members 21 (kwa Id zao), hawa watu ni waongo, ninaposema ni waongo ujue ni waongo kweli kweli (standard gauge). Ni kweli mnafurahisha na kuchangamsha lakini mnazidisha!

Kuna mtu anakuja na stori yake ya kujitungia tungia tu, halafu anavaa uhusika yeye mwenyewe, mwisho wa siku (tena siyo mwisho wa siku, kesho yake) utoana analeta mada nyingine ambayo ukilinganisha na ile ya kwanza, hazileta picha kabisaa!

Kama unajijua unakuja hapa kufurahisha (uongo) na huwezi kukumbuka ulisema/utasema nini kwenye nyuzi zako, basi tumia nafsi ya mtu mwingine ~yeye, ali, wao n.k, siyo "Mimi" nikawasha gari langu nikaondoka (mfano lakini) halafu mwisho wa siku unakuja hapa kulalamikia "ajira".

Kwani hilo gari ni la mkopo? Ok ngoja ninyamaze ili kuepuka shambulio na mkija kivingine, naanza kuwataja mmoja baada ya mwingne, si nawajua!
Anza na mimi
 
Kuna ule uongo wa story jukwaaa linaburudika kama story za mwamba mmoja anaitwa guDume hazina tatizo kabisa , Tatizo lipo kwa hawa madogo kuna mmoja nimekutana nae kwenye nyuzi za mambo ya Majeshi haswa pale JW linapojadiliwa kwa kudhihakiwa na yeye comment zake ni nyingi saana anaponda vibaya mnoo kwamba kazi ya kijinga na bla bla nyingi sawa sio tatizo ila tatizo linakuja tena namkuta jukwaa la ajira kwenye wa uzi wa ajira za polisi, magereza na zimamoto anatia huruma tena anauliza nafasi za JW Lini, lonja na taratibu ridiculous hahah sasa wakati mwingine huwezi amini Miujiza ipo mtu ana nafasi kabisa na hana wakumpeleka kwa kauli zako za kishenzi na ujuaji wa kijinga unapishana na ndoto
[emoji23][emoji23][emoji23]Wacha tu nicheke kwa kweli
 
Back
Top Bottom