JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

Rev Kishoka
Kuhani
Jasusi
Nonda
YoYo
Gaijin
Andrew Nyerere
Ganesh
Kongosho
Mlenge
MosheDayan
Chief
Barubaru
Gavana
Kwedu Kanzu
Alibakari Kombo
Mwita Maranya
Mchambuzi
Game Theory
Bongolander
Consigliere
Rosemarie
Mchumba
Black Woman
King'asti

Good old days. Wengine nimeanza hadi kuwasahau​
 
Nimeweka picha kabisa, enzi hizo Kuna jukwaa lilikuwa moto, mwendazake akaleta "Sheria kandamizi"
Screenshot_2024-11-02-09-45-46-112_com.android.chrome.jpg
 
Hebu ongeza wengine
Naunga mkono hoja,kawaida maisha ni mafupi,mbali na kuwa yana mapito mengi naomba utaratibu wa kujulishana juu ya member tunao wamisi tujukishane hata kama ni kupotea baada ya kutekwa,matatizo ya kiafya,kijamii,vifo ama majukumu tujuzane ili angalao kwa imani zetu tuweze kuwaombea,kuwasaidia ama japokufarijiana.Kwani hii Dunia ni ya Mungu na hakuna mwenye umiliki.
 
Back
Top Bottom