Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera asee....kweli kila mtu na kichwa chake!Hazinisumbui mimi napendaga pombe kali kali tu,nipo addicted na hizo safari nikizikosa huwa naumwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] na hazija nipa kitambi[emoji12] [emoji12]
Kwa style hiyo nami nitakuja nile vinono kwakweli lolsWooow!! Nimefurahi kusikia kuna wazo la kulaunch party ya namna hii... We only live once..let's gooooo guys!
Party, drinks and foods zinaenda pamoja kama Shehe na ubwabwa vile.. Personally huwa naamini food is the another way of celebrating life na kwa vile Nina background ya culinary and Italian cuisine from one of the very prestigious university in the world.. I promise kama nitahudhuria hiyo party nitawaandalia na nitawapikia food moja murua na matata sana inaitwa "Carbonara" ni Italian cuisine hii, dish hii iko deceptively simple but with classy, yaani ingredients zake baadhi ni spaghetti, eggs, pecorino cheese, cured guanciale, and black pepper, najua nikiwatolea good version ya hii menu trust me I will make your day and the party will be forever remembered.
Hapo sijazungumzia Lasagna na Ribbolita these are heart food from Italy ninazomudu kuzitoa catalogue zake kwa uzuri wa kutosha tu. Ndio maana hadi kuna member humu namuonaga anajiita Beef Lasagna atakuwa anaujua utamu wa lasagna from Italy.
Zote hizi nitawapikia bure bila gharama zozote. Trust me we gonna have a party of a lifetime. Hoja imepita nadhani muhimu ni kila mmoja kuvolunter kwenye section anayoimudu... Tutengeneze once in a lifetime event. JF get together party.
N;B Nimeweka na picture za kazi zangu za upishi casual wa nyumbani tu for more clarification.View attachment 862361View attachment 862362
Don't worry Valentina just come over. I 'll make your day.Kwa style hiyo nami nitakuja nile vinono kwakweli lols
Naona mambo za Bata Batabani....tehteehhNimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Mkuu, hamia Dar...tehteehh [emoji12] [emoji12]Dar mna raha
Nimejaa hofu maana tutakuwa tumebet sasa matokeo ni Dk 90.Itakuwa siku ya kuona vyura na vibabyface vya kwenye avatar
Wa bush mnatusaidiaje??
Kwani tunawanunulia Bia sisi au kila mtu analewa kwa hela yake?Huu naanza kugundua JF kuna wadada walevi/wanywaji wa pombe Kali tu ,na km ni bia basi ni Savannah,Heineken ,Windhoek ,wakuu mjipange siku hy ya party. Hakuna mdau humu wa SBL ,TBL wala TDL mbozi road
Dada hakuna jinsi,sie tuandae yetu ,tunywe rubisiItakuwa siku ya kuona vyura na vibabyface vya kwenye avatar
Wa bush mnatusaidiaje??
[emoji16][emoji16][emoji16] we jamaa bhana una majibu kama Lodi Lofa vile.Kwani tunawanunulia Bia sisi au kila mtu analewa kwa hela yake?
Hata km ,ila ukijichanganya ujue hawanywi matapu tapu yetu haya,ya ilala mchikichini, mataa chang'ombeKwani tunawanunulia Bia sisi au kila mtu analewa kwa hela yake?
Wengine tutakunywa juice jamaniHuu naanza kugundua JF kuna wadada walevi/wanywaji wa pombe Kali tu ,na km ni bia basi ni Savannah,Heineken ,Windhoek ,wakuu mjipange siku hy ya party. Hakuna mdau humu wa SBL ,TBL wala TDL mbozi road
Hata km ,ila ukijichanganya ujue hawanywi matapu tapu yetu haya,ya ilala mchikichini, mataa chang'ombe
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani tunawanunulia Bia sisi au kila mtu analewa kwa hela yake?
Wengine tutakunywa juice jamani
Akhuuu nitajilipia.Bill yako iko juu yangu.
Mie sitokuwepo ila nitachangia party ifanikiwemtu chake Uje kuwa makini usije kunywa maji eti unanunulia mwenzako Savanah.