JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Ndio maana elimu ya kileo haina msaada mkubwa kwa watoto
Kabisa mkuu. Miaka yetu mnapo maliza elimu ya msingi mnaambiwa katika nyimbo na risala kua mnaenda "kujitegemea"(wachache ndio walikua wakiendelea na elimu ya sekondari)

Kilimo cha mbogamboga majumbani ilikua ni kilimo cha watoto. Saa zingine mnashindana kua na bustani. Tena hata bustani za maua ilikua ni shughuli za watoto na tukishindana kuonyesha ya nani zaidi😀😀😀
 
Kilimo cha mbogamboga majumbani ilikua ni kilimo cha watoto. Saa zingine mnashindana kua na bustani. Tena hata bustani za maua ilikua ni shughuli za watoto na tukishindana kuonyesha ya nani zaidi[emoji3][emoji3][emoji3]
Aisee hii ni kweli kabisa!
 
Nilipata kukaa na kuongea kuhusu mambo mbali mbali na Marehemu Mzee said Bawji pale nyumbani kwake Kwanjeka Tanga katika kipindi cha mwishoni mwa Uhai wake.

Watoto wake wapo pale Tanga.

Allah awasamehe marehemu zetu hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…