Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlisomaga sangu sec mbeya hii kitu ilinifanya nkafukuzwa shule
Nakumbka movie zake tulikuwa tunaenda kuangalia kwa freedom fighters fulani wasouth afrika kwao,walikuwa wanatuwekea sinema ileComedian aliyevuma sana Charlie Chaplin ..mpaka kukawa na mashati yaliyobatizwa jina lakeView attachment 2020406
Plate number RAA ilikuwa ikimaanisha nini??
Hivi visoda vyake nlikuwa navipenda sana kipindi hicho kuna mchezo flani hivi tunacheza wa kutumia visoda. Basi tukienda kuokota mimi natafuta vya Bia bingwa tu. Also may be kwa vile ilikuwa rangi ya Yanga na mimi kipindi hicho nilikuwa Yanga kabla sijahamia Simba