JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

View attachment 1526957
Vladimir Putin akiwa Tanzania 1972 pamoja na Samora Machel na Emerson Mnanangwa(Rais wa Zimbabwe)

-Putin alikaa Morogoro Tanzania kwa miaka 4 (1973-1977)akiwafundisha wapigania uhuru wa kusini
Ila bongo kuna wakati tunaichukulia kimasihara sana, ila hapa kuna hatari sana angalia hata na watu waliopita hapa.. Noma sana, respect
 
Kwann wasungu waliyabadilisha majini asili ya waasisi wa maeneo na kubatiza majina yao.....ni chuki au ndo usungo tu?
 
Imeshindikana kabisa kufufua hii?
 
Na apa pia walibadilisha jina......nahisi ata zile gunduzi za ki biological na physical hawa wasungu hawausiki nazo wamebambia tu...
 
Sasa mh. Hayati Mkapa ule unene ni wamadaraka ua...apumzike kwa amani
 
Kaburi lake liko maeneo gani chief?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…