Nimesoma pia riwaya zake za kipelelezi nyingi sana, main character wakiwa Joram Kiango na Inspekta Kombora.Very famous by then... Jamaa alipofariki gazeti likapoteza umaarufu wote
Jr[emoji769]
Ila mwandishi wa riwaya hizo siyo Bawji nilichanganya; ni Ben R. MtobwaSalam toka kuzimu, tutarudi na tutarudi na roho zetu
Jr[emoji769]
Born town wa mbwindeNani huyu?
Jr[emoji769]
Bingwa wa kujiliza mbele ya bamkweDuu sijui nazeeka umeniacha njiapanda
Jr[emoji769]
Mkuu ni nan huyu?Huyu ni gwiji la mpira wa miguu zama hizo View attachment 1457132
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu ni nan huyu?
[emoji120][emoji120][emoji120]Pele Mkuu
Duh, kumbe k/koo mishemishe kitambo...😀😀
Alikuwa kisu
Mzee wa totoZ