Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Nimesoma pia riwaya zake za kipelelezi nyingi sana, main character wakiwa Joram Kiango na Inspekta Kombora.Very famous by then... Jamaa alipofariki gazeti likapoteza umaarufu wote
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma pia riwaya zake za kipelelezi nyingi sana, main character wakiwa Joram Kiango na Inspekta Kombora.Very famous by then... Jamaa alipofariki gazeti likapoteza umaarufu wote
Jr[emoji769]
Ila mwandishi wa riwaya hizo siyo Bawji nilichanganya; ni Ben R. MtobwaSalam toka kuzimu, tutarudi na tutarudi na roho zetu
Jr[emoji769]
Born town wa mbwindeNani huyu?
Jr[emoji769]
Bingwa wa kujiliza mbele ya bamkweDuu sijui nazeeka umeniacha njiapanda
Jr[emoji769]
Mkuu ni nan huyu?Huyu ni gwiji la mpira wa miguu zama hizo View attachment 1457132
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu ni nan huyu?
[emoji120][emoji120][emoji120]Pele Mkuu
Duh, kumbe k/koo mishemishe kitambo...😀😀
Alikuwa kisu
Mzee wa totoZ