JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

FB_IMG_1691992856791.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝗡𝗱𝗲𝗴𝗲 𝘆𝗮 𝗖𝗼𝗻𝗰𝗼𝗿𝗱 𝗶𝗹𝗶𝘄𝗮𝗵𝗶 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗮 𝗞𝗲𝗻𝘆𝗮 𝗺𝗻𝗮𝗺𝗼 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟴𝟴 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗿𝗶𝗯𝗶𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶.
FB_IMG_1692179713069.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulia ni Giriki dereva wa Tawaqali Bus. Hii itakuwa ni katikati ya miaka ya 1990. Njia zake zilikuwa ni Dar-Songea, Dar-Mbeya-Kyela, Dar-Tunduma na Dar-Lusaka. Nasikia yuko kwenye malori siku hizi.
FB_IMG_1692425108105.jpg
 
madereva wa zamani walikuwa wanaringa ase
mkifika Singida mkiona kabeba begi tu ujue mkatafute vyumba vya kulala hapo safar haiendelei tena mpaka kesho...mara ya kwanza chipsi nimelia Singida mwaka 1995
FB_IMG_1692435046813.jpg
 
Leyland Abion hiyo pichani ikiwa inapandisha kwenye milima na kona kali za Kawetere, taratibu na kwa uangalifu mkubwa sana. Hiyo ni barabara ya kutoka Mbeya mjini kwenda wilaya ya Chunya miaka ya 1960, safari ambayo ilikuwa inagharimu karibu siku nzima na ukisema uende mbio ukipata ajali hapo basi hakitoki kitu. Lakini baada baada ya barabara kutengenezwa vizuri kama inavyoonekana kwenye picha ya pili hapo chini safari imekuwa ikitumia masaa machache sana.
FB_IMG_1692478180159.jpg
FB_IMG_1692478184045.jpg
 
Weruweru primary school 1972
 

Attachments

  • FB_IMG_1692713734548.jpg
    FB_IMG_1692713734548.jpg
    48.2 KB · Views: 12
Namkumbuka Baba wa Wazee FIAT 682 Mwanza Dar es salaam ilikua Ni safari ya wiki
 

Attachments

  • FB_IMG_1692938487312.jpg
    FB_IMG_1692938487312.jpg
    54.4 KB · Views: 12
1965
Chou en lai toka China awasili Tanzania.
Kuja kwake kwabadili kabisa siasa na uchumi wa Tanzania.
 

Attachments

  • FB_IMG_1693085015631.jpg
    FB_IMG_1693085015631.jpg
    32.1 KB · Views: 10
1965
Chou en lai toka China awasili Tanzania.
Kuja kwake kwabadili kabisa siasa na uchumi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom