JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Tulimwita uncle J na club leo shoooooooo....

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Ahmed kipozi, mwanalindanda mwanakawekamo... Dominic chilambo, aibas Stephen, Andrew maiko libuda, bananasi mluge......thekioni kitojo, na nkk

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kama vile ilivokuwa salanda

Hahaha

Harafu dereva mpaka alewe ndiyo avuke milima hiyo

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kumbe tumedanganywa kuwa,baadhi ya vyombo kutoka duniani huenda huko kufanya uchunguzi na kurejea je vinatokaje huko?
 
Miaka ya 1970. Kina mama na watoto wao wakiwa wameshuka kutoka kwenye PANTONI. Hapo ni upande wa Kigamboni. Nadhani watakuwa wanakwenda Kimbiji ama Gezaulole hawa. Watu ni wachache sana, ni wa kuhesabu. Nakumbuka hizi baibui ndiyo yalikuwa mavazi makuu ya wanawake wa pwani kwa wakati huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daktari Bingwa wa utambuzi wa magonjwa na sababu za vifo, Profesa James Shaba amefariki dunia jumanne Desemba 5, 2023.

Profesa Shaba ndie profesa wa pathology wa kwanza Afrika ya mashariki na kati.

Profesa Shaba ndie aliyefanya uchunguzi wa mwili wa waziri mkuu wa zamani wa Tanzania 'postmortem' Hayati Edward Sokoine, pale hospitali ya taifa Muhimbili.

Sokoine alifariki Aprili 12, 1984 akiwa na umri wa miaka 45 kutokana na ajali ya gari iliyotokea Dakawa - Morogoro.

Pumzika kwa amani Profesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…