Na hakika aliyewaachia muende nazo home alikosa alihamishwa kitengoNakumbuka kuna siku moja baada ya mazoezi tukauchiwa rifle tuchukue nyumbani. Hebu imagine leo mtoto wa miaka 15 aachiwe silaha kama hiyo achukuwe nyumbani.View attachment 2852150
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah[emoji23]Na hakika aliyewaachia muende nazo home alikosa alihamishwa kitengo
Hiyo Isuzu ilikuwa ikipiga ruti za Buguruni na Posta, na ilikuwa ikilala Ilala, long time Leo umenikumbusha, shukurani sanaIlikuwa mwaka 1986. Hayo ni maeneo ya Posta ya zamani jijini Dar es salaam na mbele hapo linaonekana Kanisa la Lutherani la Azania Front. Hapo barabarani naona daladala ISUZU ELF ikizunguka kuja huku stendi baharini kwenye Mikungu kupakia abiria. Pichani pia naona gari ndogo nyeupe ikiwa imepaki hapo na vijana wa zamani nao hapo wakiwa wamekaa kwenye ukuta. Karibu sana.View attachment 2852393
Sent using Jamii Forums mobile app
Good Bad and UglyWale walikuwa wakienda Avalon cinema, Empire cinema, Empress cinema na Drive inn cinema watakuwa na la kusema kuhusu kazi za huyu Mzee (kijana wa zamani) mwenye miaka 93 sasa.View attachment 2856240
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya penpal nmekumbuka zamaniWale wakileo watuache kwanza, mawasiliano yetu zamani yalikua haya. Mnaikumbuka Kwa Ndege, Par Avion, By Air [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2840185
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazushi 😄
Miaka ya zamani magari tanzania tulikuwa tunatumia model za ulaya tuPeugeot 404 Station Wagon, modeli hii ilianza kutengenezwa mwaka 1960 mpaka 1978.View attachment 2811098
Sent using Jamii Forums mobile app