JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Napata hisia za ajabu kwenye hizi picha..ni kama nilikuwepo huko miaka hiyo ya zamani[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Hata mimi mkuu kuna picha hapo juu wanafunzi wanapiga ngoma duu yani Kama napajua ivi.
 
Uko vizuri Sana kwenye historia.
Leo naomba unipe historia ya Thomas Sankara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeza nyama kidogo mkuu
Mkuu,huyu ni Fred Rwegima,Mnyarwanda aliezaliwa na kukulia ukimbizini Uganda,akajifunza vita vya msituni Tanzania,(inasemekana eye ndo aliemshika Paul Kagame mkono mpaka kwa M7 aliekuwa masomoni UDSm),wakaanza Vuguvugu la kuikomboa Uganda, akashika nyadhfa mbali mbali ktk Jeshi la Uganda,lkn Baadae akaona kuna haja ya kuikomboa tena Nchi yake ya Asili Rwanda,wakiwa na kundi la kijeshi la wakimbizi wa kinyarwanda kutoka Uganda wakaivamia Rwanda...huko ndiko uhai ulikomtoka...kifo chake ndio kilichofanya Major General P kagame kukatisha masomo na kurudi kuendeleza harakati....Ni shujaa wa nchi ya Uganda na Rwanda kwa pamoja.
 
Ooh[emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…