JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Mmh mkuu au mi ndo sijakuelewa? imeundwa mwaka 2003, ila kufanya doria ocean sea ikaja mwaka 2000 ngachoka hoi
 
Dah! kweli ya kale ni dhahabu, katika kupitia pitia huu uzi kuna mkoti wa suti nimeuona nimejikuta nacheka kwa sauti.
 
Mmh mkuu au mi ndo sijakuelewa? imeundwa mwaka 2003, ila kufanya doria ocean sea ikaja mwaka 2000 ngachoka hoi
Tofautisha miaka ya 2000 na mwaka 2000(Labda sijui kiswahili chake 2000s)

Mtu akisema miaka ya 2000 manaake hajataja tarehe husika ila ni kuanzia 2000-2010, akisema miaka ya 2010 ni kuanzia 2010-2020 haswa pale anapokua hana uhakika na tarehe. Mengine unajiongeza


Nilikua sina tarehe ya uhakika ni lini sikua na muda wa kufanya research kabisa ila ilikuja Bongo March 2009

Natumaini umeelewa sasa
 
Wazungu washenzi sana

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…