Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh mkuu au mi ndo sijakuelewa? imeundwa mwaka 2003, ila kufanya doria ocean sea ikaja mwaka 2000 ngachoka hoiSijui nani anakumbuka ile meli iliyokuja kutusaidia Patrol miaka ya 2000 mpaka tukakamata wavuvi haramu (Samaki wa Magufuli) wakati JPM akiwa wizara ya Uvuvi na Mifugo
Basi hii ni Meli kubwa ya kufanya doria baharini (Offshore Patrol Ship) inayomilikiwa na Serikali ya South Africa na ilikuja kwa ushirikiano wa SADC
Hii meli ilianza kuundwa mwaka 2003 na ilipewa jina kwa heshima ya huyu mama inaitwa Sara BaartmanView attachment 1532996View attachment 1532997
Tofautisha miaka ya 2000 na mwaka 2000(Labda sijui kiswahili chake 2000s)Mmh mkuu au mi ndo sijakuelewa? imeundwa mwaka 2003, ila kufanya doria ocean sea ikaja mwaka 2000 ngachoka hoi
Wazungu washenzi sanaView attachment 1532945
Sara Baartman aka Hottentot Venus(1979- December 29 1815)
STORI YA KUSIKITISHA
Alikamatwa kama mtumwa huko Afrika ya kusini na alishikiliwa kwa muda kadhaa kabla ya wale wamiliki wa watumwa kugundua kwamba ana maumbile ya ajabu sana ambayo hawajawahi kuyaona. Akiwa na wowowo kubwa na matiti makubwa sana.Wakaanza kumtumikisha kingono na inakadiriwa alibakwa na kunyanyaswa kijinsia mara 400 wakaona hio haitoshi wakampeleka Paris France ambako walianza kumfanyia maonyesho kama zoo wakimzungusha mijinmbalimbali na wanaume wakija kumshangaa maumbile yake na mwenye hela anamnunua kwenda kulala nae.Alitumika kwa njia hiyo mpaka akachoka sana na akaanza kudhoofika na baadae alifariki. Uchunguzi baada ya kifo(autopsy) unaonesha kwamba alikua na inflammatory ailment, smallpox, syphilis, mild yeast infection na maambukizi mengine mengi ya bacteria.Haikuishia hapo baada ya kifo chake Dec 1815 waliukata kata mwili wake(Disection) wakatoa Ubongo wake, skeleton yake na sehemu za siri pamoja na nyonyo wakzaiweka Makumbusho(Paris Museum) kutangaza mwanamke aliyekua na maumbile ya ajabu mpaka mwaka 1974 nchi mbalimbali zilipoanza kupiga kelele juu ya udhalilishaji huo na hatimaye mwaka 2002 mwili wake ulirudishwa kwa Afrika ya Kusini na kuzikwa kwa heshima
View attachment 1532965View attachment 1532966View attachment 1532967View attachment 1532968View attachment 1532969
cc Rostema utakuja kuongezea nyama na mie nimeandika fasta fasta #bluemonday si unajua
Kodi ya kichwaView attachment 1533144
Tuliokua tunajificha maporini kukimbia hii kitu tukumbushane[emoji1787][emoji1787]
Nikiendaga tanga, milima usambara huko juuuKodi ya kichwa
Jr[emoji769]
Ahahahahah, ahahahaha, ahahahah[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wacha tufurahi mkuu.
Hata yeye mwenyewe nahisi alivyosoma akacheka tu[emoji1787]
Ndio wapi?kazuramimbaView attachment 1533111
Kazuramimba 1913
Ndio wapi?kazuramimba
Hapa anampokea KK?View attachment 1533132
T1 enzi za Mchonga
Mkuu,mkuuu.Hahahaaa hujawahi kusafiri na Reli ya kati??
Uvinza, Kigoma
Naomba uje Uzi wa selfika.Ahahahahah, ahahahaha, ahahahah[emoji1][emoji1][emoji1]
Haaaaa I can't breath kwa kweliView attachment 1532660
Siyo tunaweka tu wanasiasa,huyo wa upande wa huku ni mimi mwaka 1976 nikitokea jando.
Why?Haaaaa I can't breath kwa kweli
Mmmmh hawa walikuwa wana date bila shaka lolView attachment 1530958
Bibi Titi Mohammed & Kambarage wakisakata rumba.