Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Here[emoji134]Maisha hayana rivasi[emoji25][emoji19]
Ila tungekuwa tunaweza kurudi nyumaNi kama umri tuu[emoji29][emoji29][emoji29]
Vijana wa mkapa hawawezi kukuelewaIlikuwa kubwa sana hii ulikuwa unapata Savco au Bio act mpya labisa na shati la mchele mchele
Hii ilete hukuKilimo cha Matikiti kinalipaView attachment 1723503
Nimeshampa link ya sehemu husika😳😳Kwani hii nayo ni picha ya zamani?...
Never give up....Mtu mwenye Mafanikio Makubwa Duniani Barack Obama akiwa Nchini Kenya kwa Bibi yakeView attachment 1723526
PeleeHuyu ni gwiji la mpira wa miguu zama hizo View attachment 1457132
Sent from my iPhone using Tapatalk
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]1989 Makomando wa Tanzania wakiwa mstari wa mbele kwenye mapambano na RENAMO(Msumbiji). Kutoka kushoto Godwin Chilewa, John Mwaluko na Kihuye Misigaro
View attachment 1723629
Huyu Godwin Chilewa baada ya Utumishi wa JWTZ alikuja kufanya kazi na "Idara" kwa karibu miaka 20 na baadae akatimkia zake USA saivi ni mtumishi wa Mungu(Rev. Godwin Chilewa) pia ni muandishi wa vitabu. Yuko Houston nadhani
Picha kwa hisani ya Pastor Godwin
Kumbe alikuwa anafanana na Eddie MurphyView attachment 1543710
Robert Mugabe.
Siku hizi jiwe la msingi linawekwa jengo likiwa limekamilika.View attachment 1714568
2/10/1967 Nyerere akiwa na mkuu wa kwanza wa JKT(ASP David Nkulila) kushoto na kulia ni ndugu Gondi wakiwa Arusha kuweka jiwe la msingi ujenzi wa nyumba za wanajeshi.
Angalia kwanza uniform za mwanzoni za JKT( kabla haijaunganishwa na JW)
Na pia kaa ukijua zamani mkuu wa kwanza wa JKT alitokea polisi
Wakati ukuta aiseeView attachment 1714575