JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Your browser is not able to display this video.

August 1964 Bibi Titi aliandaa maandamano na wanawake wa Dar kwenda ubalozi wa Marekani kupinga Serikali ya Marekani kumuunga mkono Moise Kapend Tshombe na serikali yake

Huyu Tshombe alikua anataka jimbo la Katanga lijitenge na alijitangaza Rais wa Katanga toka 1960-1963 baadae akaingizwa katika serikali ya DRC kama Waziri Mkuu(Premier 1964-1965)

Alifariki 1969
 
Your browser is not able to display this video.

Oct 1969
Waziri wa Afya Lucy Lameck aliongoza maandamano ya wanawake kupinga ndoa za mitala(Polygamy)

"Tuna Uhuru wa Siasa, majumbani je?" Moja ya bango lilisomeka

MUNGU IBARIKI AFRICA,MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Hii familia imeacha jina sana pale machame, Mungu aendelee kuwalaza mahali pesa peponi majirani zetu
Hahahaaa na kweli mahali "pesa" peponi manaake wanazo toka enzi😂😂

Typo bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…