jpmGuess who...!View attachment 1609744
Reggae legend..!!!Marehemu Bunny Wailer View attachment 1731022
Vp bado wanamsaka niingie mzigoni kumtafuta?View attachment 1524374
Huyu jamaa sijui alikua na kosa ganii?? Sh 5,000 wakati huo ndo mshahara wa Rais Nyerere😄😄
Hii familia imeacha jina sana pale machame, Mungu aendelee kuwalaza mahali pesa peponi majirani zetuAishi & Aikaeli Mbowe 1977View attachment 1739893
hiv kwann huyu mzee walimuondoa kwenye noti za sahv
Nadhani shida itakua ni system nzima ya B.O.Thiv kwann huyu mzee walimuondoa kwenye noti za sahv
Hahahaaa na kweli mahali "pesa" peponi manaake wanazo toka enzi😂😂Hii familia imeacha jina sana pale machame, Mungu aendelee kuwalaza mahali pesa peponi majirani zetu
Ulambe buku dala sioVp bado wanamsaka niingie mzigoni kumtafuta?
Sorry ni mahakama pema peponi, hapo NilikoseaHahahaaa na kweli mahali "pesa" peponi manaake wanazo toka enzi😂😂
Typo bwana
Hahahaha nilikuelewa nakuzingua tu "Mmamapori"Sorry ni mahakama pema peponi, hapo Nilikosea