GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Dah hilo pozi la mmatumbi aliyeshika huo mlango wa ndege
La kukata tamaa yeye anashika mlango tu kila siku wenzake wanakwea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hilo pozi la mmatumbi aliyeshika huo mlango wa ndege
Malecela na Msekwa.
Sio the late na Anna? Hawa afu namuona mr machache
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mkuuu,asante saaana!mie sina manebo mengi..endelea mkuu.
Unaturudisha nyuma kuona Taifa hili huko kipindi cha Nyuma wazalendo na wachapa kazi wa enzi hizo... Napenda sana Nchi Yangu...tuna historia Tamu sana.Pamoja sana jamaangu. Hakuna maneno mengi ni taswira tu kwenda mbele
Mkuu maelezo basi.
Vijana wakiingia 'The Clinic'.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alilala mapema huyooh, kaamka kakuta manyoya uwiiiiiiiih.Umeikosa ulilala[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Mwambie cocastic akusimulie
Hapo sawaaaah lolNdio BWM na mama Anna
Apumzike kwa amani
Warioba ni wa 1940 kuna vyuma kama huyo mwinyi 1925,Msuya 1930,Malechela 1934,Msekwa 1934,Anaumwa sana mzee yule dahh
Naona vyuma vilivyobaki walioumbwa kwa udongo mkavu ni A. H Mwinyi na Warioba tu ndo wanadunda bado
Kwanini uweke muda niliolala?Umeikosa ulilala[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Mwambie cocastic akusimulie
Nilimuomba Musa ujue[emoji29][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alilala mapema huyooh, kaamka kakuta manyoya uwiiiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wenyewe kama wenyewe....
Wahenga akina sisi.Wenyewe kama wenyewe....
Haswaaaa
Maudhui ya hichi kitabu yalikuwa yanawaumiza watoro sana..
Hii imenikumbusha mbali sana