cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na mie nawaza hivyo pia.Nasikia alikua mama mdogo wa Taifa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie nawaza hivyo pia.Nasikia alikua mama mdogo wa Taifa......
[emoji23][emoji23][emoji23]siku za gulio kulikuwa na kizuizi cha wagambo kama huna kipande cha malipo ya kodi ya kichwa unakamatwaNikiendaga tanga, milima usambara huko juuu
Kuna siku tulikuwa kwenye kibanda cha pombe
Nkawauliza wenyeji Hivi nyie wazee wenu ilikuwaje
Wakaja kuanza Maisha hku milimani... Wakaniambia
Walikimbiaga kodi ya kichwa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wapi hapa, Mombo?Nimekulia hapaView attachment 1520703
Daaaah baaada ya huu mziki unaenda kupiga Rhitungu mambo super kabisa, huku Mjini akina Shishi Bebe lazima wawakimbie akina Uchebe sio kwa Mkuyenge huo.View attachment 1532660
Siyo tunaweka tu wanasiasa,huyo wa upande wa huku ni mimi mwaka 1976 nikitokea jando.
Yupo hai au ameshafariki?Sisi tunataka kuwasha Mwenge, tunataka kuwasha Mwenge.
Na kuuweka juu ya Mlima, Mlima Kilimanjaro!!
Kuwasha...View attachment 1520761View attachment 1520762
Nimejifunza kituSijui nani anakumbuka ile meli iliyokuja kutusaidia Patrol miaka ya 2000 mpaka tukakamata wavuvi haramu (Samaki wa Magufuli) wakati JPM akiwa wizara ya Uvuvi na Mifugo
Basi hii ni Meli kubwa ya kufanya doria baharini (Offshore Patrol Ship) inayomilikiwa na Serikali ya South Africa na ilikuja kwa ushirikiano wa SADC
Hii meli ilianza kuundwa mwaka 2003 na ilipewa jina kwa heshima ya huyu mama inaitwa Sara BaartmanView attachment 1532996View attachment 1532997
watatu kushoto baba yake na piere liquid.😎😎View attachment 1523249
Wakongwe mtanisaidia caption😥😥
ni mbunge kwa Sasa, pindi hiyo hata hakua na simu maana wangeweka namba
zile ngoma zilizokua zinasikika redio Tanzania kabla ya habari ni mipigo yakeView attachment 1524406
Morris Nyunyusa alikua mlemavu wa macho(Kipofu) ila alikua anapiga ngoma balaa
[emoji23][emoji23]mkuu unatufundisha nini?ya Hai?[emoji23][emoji23]
poo mbakaMmh mkuu au mi ndo sijakuelewa? imeundwa mwaka 2003, ila kufanya doria ocean sea ikaja mwaka 2000 ngachoka hoi
Mombo napajua huwa napita mara kwa mara nikiwa naelekea nyumbani kwetu Moshi. Lushoto yeye bado fika kabisa hata siku moja, nashanagaza sana hii mtu!Na Lushoto
Duuuh!Mmmmh hawa walikuwa wana date bila shaka lol