Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alianza kuzeeka kwanza kisha kurudi ujananiView attachment 1810374
Mwalimu Kassim Majaliwa Majaliwa mwenye shati la bluu.Enzi hizo akiwa mwalimu
Alianza kuzeeka kwanza kisha kurudi ujanani
Walipendeza jamani 🤔🤔🤔, hivi winny nae si keshatangualia mbele za haki sio?
Winnie bado yu hai!Walipendeza jamani [emoji848][emoji848][emoji848], hivi winny nae si keshatangualia mbele za haki sio?
Anaitwa nani?Chaa ajabu mvumbuzi wa hizi taa ni mtu mweusi
Winnie Madikizela Mandela alishatangulia mbele ya haki 02/04/2018Winnie bado yu hai!
Ooops!Winnie Madikizela Mandela alishatangulia mbele ya haki 02/04/2018
Yule mkewe aliefunga nae ndoa mwaka 1944 ndo huyo alikuja kutengana nae baada ya kutoka jela?Winnie Madikizela Mandela alishatangulia mbele ya haki 02/04/2018
Nope!Yule mkewe aliefunga nae ndoa mwaka 1944 ndo huyo alikuja kutengana nae baada ya kutoka jela?
1961??View attachment 1812442
Mwl Nyerere
ndiyo mkuu1961??