Picha ya mwisho kupiga Mwalimu Nyerere katika Maisha yake
Wakati Leo CCM inasherekea miaka 45 ya kuzaliwa Kwa Chama hicho,
Leo nimeamua kukuletea picha ya mwisho ya Mwalimu Nyerere,
Picha unayoiona hapo Chini ndio picha ya mwisho kupigwa na Mwalimu enzi za uhai wake,
Picha hii ilipigwa tarehe 17 September 1999 saa tatu na dakika ishirini za Tanzania,
muda mfupi kabla ya baba wa taifa kupanda ndege kuelekea London -Uingereza kwa matibabu,
hii ndiyo picha yake ya mwisho kupiga akiwa hai hapa duniani,
" Ninajua nitakufa sitapona nawaomba watanzania waipende nchi yao waipende Kama wanavyowapenda mama zao maana hawana nchi nyengine".
Huu ulikua wosia wa mwisho wa BABA WA TAIFA kwa Taifa lake.
Pumzika kwa amani Mwalimu Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania.
View attachment 2108857