Leo miaka 10 toka mwamba huyu wa utangazaji Julius Omang’ere Nyaisangah afariki. Nyaisangah alikuwa mmoja wa watangazaji hodari sana mwenye sauti na matamshi laini na matamu sikioni kwa msikilizaji.
Endelea kupumzika kwa amani brother ukiwa na timu rtd- Nadhir Mayoka, Hendrix Michael Libuda, Idd Mchatta,Ahmed Jongo, Siwatu Luwanda, Salama Mfamao, Hassan Mkumba, Juma Ngondaye, Nelly Kidela, David Wakati, Omar Jongo, Sarah Dumba, Batty Kombwa,Halima Mchuka, Suleiman Hegga na wengineo.
Pia wasalimie team IPP MEDIA wote huko Mwenyekiti Reginald Mengi, Rodney, John Ngahyoma, Misanya Bingi, Moses Justine-Papaa Mo, Isaac Muyenjwa Gamba, Robert Mbando, Baba T, Rehema Mwakangale, Oscar Mirindo, DJ Rankim Ramadhan, Dj Rico na wengineo. Nyote tunaendelea kuwakumbuka kwa mchango wenu mkubwa kwenye tasnia hii.
Sent using
Jamii Forums mobile app