JF POLL: (Nini sababu ya kuongezeka kwa Atheists na Non-Believers miongoni mwa vijana hapa Tanzania). Majibu ya poll ni baada ya masaa 24

JF POLL: (Nini sababu ya kuongezeka kwa Atheists na Non-Believers miongoni mwa vijana hapa Tanzania). Majibu ya poll ni baada ya masaa 24

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Andika namba kwenye comments. Namba ambayo itatoa ufafanuzi halisi ya majibu ya swali lililoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu.

1: Kuongezeka upotoshaji katika dini

2: Kuongezeka kwa hali ngumu ya maisha ikiandamana na matumaini finyu au lah kabisa.

3: Maswali yasiyojibika vizuri na majibu yasioridhisha kuhusiana na asili ya uwepo wa Mungu na utendaji kazi wake.

4: Kupungua kwa maadili katika vijana

5: Kupitia hali ya kutojibiwa maombi ya changamoto kali wanazopitia ingawa walisali sana.

6: Kuongezeka kwa ufahamu binafsi na mazingira yanayomzunguka, Upataji wa Elimu ya kileo na kuimalika nia ya kuhoji chochote.

7: Vijana wana jitahada finyu ya kumfikia Mungu kimaombi na pia Kutojifunza kwa mapana Biblia na Quran.
 
Andika namba kwenye comments. Namba ambayo itatoa ufafanuzi halisi ya majibu ya swali lililoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu.

1: Kuongezeka upotoshaji katika dini

2: Kuongezeka kwa hali ngumu ya maisha ikiandamana na matumaini finyu au lah kabisa.

3: Maswali yasiyojibika vizuri na majibu yasioridhisha kuhusiana na asili ya uwepo wa Mungu na utendaji kazi wake.

4: Kupungua kwa maadili katika vijana

5: Kupitia hali ya kutojibiwa maombi ya changamoto kali wanazopitia ingawa walisali sana.

6: Kuongezeka kwa ufahamu binafsi na mazingira yanayomzunguka, Upataji wa Elimu ya kileo na kuimalika nia ya kuhoji chochote.

7: Vijana wana jitahada finyu ya kumfikia Mungu kimaombi na pia Kutojifunza kwa mapana Biblia na Quran.
Wale Wahuni waliokimbilia kwenda kuongoza waumini ndiyo wamepelekea watu kuchomoka huko. Maana nyakati zinanadilika lakini wao wanahimiza waumini kuhakikisha wanabaki kuwa wajinga.
Ujinga mdiyo wameuwenka kuwa msingi wa dini, hawataki waumini wahoji, wanahimiza waumini kufiata kila lililoandikwa pasipo kuhoji, ukiuliza wanasema maandiko yameagiza, ukiuliza Mwandishi ni nani wanakwambia Mungu ukiwaambia hebu tujadili tuone kama maandiko hayo yana apply katika mazingira ya sasa watakwambia ni kufuru, unachotakiwa ni kuamini tu.
Watu wamessnuka, wameona huku ni kugeuzama masakala
 
Wale Wahuni waliokimbilia kwenda kuongoza waumini ndiyo wamepelekea watu kuchomoka huko. Maana nyakati zinanadilika lakini wao wanahimiza waumini kuhakikisha wanabaki kuwa wajinga.
Ujinga mdiyo wameuwenka kuwa msingi wa dini, hawataki waumini wahoji, wanahimiza waumini kufiata kila lililoandikwa pasipo kuhoji, ukiuliza wanasema maandiko yameagiza, ukiuliza Mwandishi ni nani wanakwambia Mungu ukiwaambia hebu tujadili tuone kama maandiko hayo yana apply katika mazingira ya sasa watakwambia ni kufuru, unachotakiwa ni kuamini tu.
Watu wamessnuka, wameona huku ni kugeuzama masakala
Inafikirrisha
 
Andika namba kwenye comments. Namba ambayo itatoa ufafanuzi halisi ya majibu ya swali lililoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu.

1: Kuongezeka upotoshaji katika dini

2: Kuongezeka kwa hali ngumu ya maisha ikiandamana na matumaini finyu au lah kabisa.

3: Maswali yasiyojibika vizuri na majibu yasioridhisha kuhusiana na asili ya uwepo wa Mungu na utendaji kazi wake.

4: Kupungua kwa maadili katika vijana

5: Kupitia hali ya kutojibiwa maombi ya changamoto kali wanazopitia ingawa walisali sana.

6: Kuongezeka kwa ufahamu binafsi na mazingira yanayomzunguka, Upataji wa Elimu ya kileo na kuimalika nia ya kuhoji chochote.

7: Vijana wana jitahada finyu ya kumfikia Mungu kimaombi na pia Kutojifunza kwa mapana Biblia na Quran.
Yote.
 
Watu wengi wamejikita kwenye philosophy na kugundua kuwa dini ni michongo ya watu wenye akili ili kuwapumbaza watu kwa hofu. Mf. Inaingia akilini kweli kwa Mungu mwenye uwezo wooooooooote, kumtoa mwanae kafara? Ina maana shetani ana nguvu kuliko yeye ndio maana akaamua kutoa kafara? Watu wamepumbazwa na kukubali hatimae imani imeenea karibu dunia nzima.
 
Back
Top Bottom