JF Scheduled Maintenance - October 2020

Always JF is ahead on customer care.

Thank you Team kwa kutujali sisi watu wadogo wa nchi hii
 
Nimeona mkwamo kwenye search engine kumbe kuna maboresho[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Bado nakumbuka ile JF "seizure" ya 2015 .......mwaka huu sijui itakuwaje tena!?
 
Nimejaribu kuweka uzi wangu mpya umegoma kabisa kuonekana hili nalo vipi?
 
Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.

Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.

Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
 
Aisee!! Big up sana jf founders!

Unforgetable
 
Inabido mseti kwamba, kama picha inapamdishwa humu basi automatically iwe full
 
Nimeona marekebisha ila upande wa kutoa video you tube kuweka humu naona imefutwa au kuondolewa au ni vile hatujajua kuendana na mabadiliko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…