JF Scheduled Maintenance - October 2020

JF Scheduled Maintenance - October 2020

Nimeona marekebisha ila upande wa kutoa video you tube kuweka humu naona imefutwa au kuondolewa au ni vile hatujajua kuendana na mabadiliko?
Mkuu
Endelea Kuperuzi Na Kudadisi Utakutana Na Mengi
Kipya Kinyemi, Yaliyomo Yamo. Tuendelee Kujifunza
Mabadiliko Yatatufanya Tuichukie Jamiiforums.com
Baadaye Tukizoea Tutaifurahia Kupitia Maboresho
 
Ya saiv hayawezi chukiwa maana maombi ya wengi yamefikiriwa hasa kuchange username bila ruhusa za mods.

Da'Vinci upo huru dogo saiv ni mwendo wa kujibadilishia jina
Mkuu
Endelea Kuperuzi Na Kudadisi Utakutana Na Mengi
Kipya Kinyemi, Yaliyomo Yamo. Tuendelee Kujifunza
Mabadiliko Yatatufanya Tuichukie Jamiiforums.com
Baadaye Tukizoea Tutaifurahia Kupitia Maboresho
 
Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.

Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.

Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
Mkuu samahani,naomba uliza hivi mnawezaje tumia JF angali hamuoni kabisa?
 
Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.

Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.

Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
Thumb up kwa JF technical support.

Hili sikuwahi kulijua Kama Kuna wasioona Wana access vizuri tu humu jukwaani.

Hongera Maxence Melo
 
😂😂😂😂😂😂😂 ushawahi ona wanafunzi wanachezea documents ofisini kwa mwalimu mkuu,ndo sie sasa tunachezea sharubu za wenye ban hapa
mjadala huu pia utazalisha ban?
mweh mweh
 
Nimejaribu kuweka uzi wangu mpya umegoma kabisa kuonekana hili nalo vipi?
Hili tatizo mimi kwangu lipo mpaka sasa.Kila nikiweka uzi naambiwa uzi unasubiri ruhusa ya moderator kuonekana kwa users wengine.
 
Bw Melo, mbona censorship ya post hapa JF imekuwa kali hivi? Sisi usiotujua hauturuhusu tena kupost hapa. Majina yaleyale unayoyajua, ndiyo yanayoruhusiwa kuposti hapa. Vipi mnatishwa huko? Bw Melo, tafadhali mpigie kura Lissu ili kurudisha uhuru wa habari tena katika nchi yetu.
 
Mkuu samahani,naomba uliza hivi mnawezaje tumia JF angali hamuoni kabisa?
Tunatumia visoma scree yan screen readers. Hapa simu au computa yako inatumia text to speach engine. Hii hutoa sauti ambayo hutuwezesha kujua nini kinafanyika katika kifaa hicho iwe simu au komputa.A screen reader is a form of assistive technology that renders text and image content as speech or braille output. Screen readers are essential to people who are blind, and are useful to people who are visually impaired, illiterate, or have a learning disability.
 
Back
Top Bottom