MkuuNimeona marekebisha ila upande wa kutoa video you tube kuweka humu naona imefutwa au kuondolewa au ni vile hatujajua kuendana na mabadiliko?
Mkuu
Endelea Kuperuzi Na Kudadisi Utakutana Na Mengi
Kipya Kinyemi, Yaliyomo Yamo. Tuendelee Kujifunza
Mabadiliko Yatatufanya Tuichukie Jamiiforums.com
Baadaye Tukizoea Tutaifurahia Kupitia Maboresho
Bwana weee upele umefika kwa mkunaji sasa hivi nabadiri. Nilikua nawaza kubadilisha
Mkuu samahani,naomba uliza hivi mnawezaje tumia JF angali hamuoni kabisa?Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.
Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.
Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
hachelewi kujipa jina la muhogo wa kigoma
ameshaanza kulalamikaHapa nasubiria kwa hamu jina jipya atakaloibuka nalo
Imekataa kabisa..
ameshaanza kulalamika
huenda litakuwa "kigoma2020"
Thumb up kwa JF technical support.Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.
Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.
Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
mjadala huu pia utazalisha ban?๐๐๐๐๐๐๐ ushawahi ona wanafunzi wanachezea documents ofisini kwa mwalimu mkuu,ndo sie sasa tunachezea sharubu za wenye ban hapa
mjadala huu pia utazalisha ban?
mweh mweh
ndio nani huyo nabii?Ila huu uzi umenipa somo hasa kwa comments za mtume wa watu
ndio nani huyo nabii?
Hili tatizo mimi kwangu lipo mpaka sasa.Kila nikiweka uzi naambiwa uzi unasubiri ruhusa ya moderator kuonekana kwa users wengine.Nimejaribu kuweka uzi wangu mpya umegoma kabisa kuonekana hili nalo vipi?
nimeshamuonaNdugu yetu mmoja ndani ya JF. Msome hapo juu utaelewa
Duuh haa sikumbuki kabisa, ningekusaidia kutafuta. Bado hawajaweka option ya kufungua pm iliyotungwa nikuvamie huko๐คญ๐คญ
Tunatumia visoma scree yan screen readers. Hapa simu au computa yako inatumia text to speach engine. Hii hutoa sauti ambayo hutuwezesha kujua nini kinafanyika katika kifaa hicho iwe simu au komputa.A screen reader is a form of assistive technology that renders text and image content as speech or braille output. Screen readers are essential to people who are blind, and are useful to people who are visually impaired, illiterate, or have a learning disability.Mkuu samahani,naomba uliza hivi mnawezaje tumia JF angali hamuoni kabisa?
Mkuu tupo kitambo[emoji16][emoji16][emoji16]Thumb up kwa JF technical support.
Hili sikuwahi kulijua Kama Kuna wasioona Wana access vizuri tu humu jukwaani.
Hongera Maxence Melo