Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Nshakupata, loud n clear 👌Normaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
And the less problem you'll have...[emoji23]The more selective u become au the less people wana hang out with u?
Yeah, wangejua tu...The saddest reality is when your own family doesn't really know who you are.
Hahha is that possible?The saddest reality is when your own family doesn't really know who you are.
Duh, huyo hatari basi!Hero syndrome is a condition where a person will intentionally create a dangerous situation just so they can be a hero and resolve it
Hii mbinu huwa inatymika na serikali nyingi za kiafrika, mfano hapa kwetu wanaweza wakachoma mabanda ya wauza mitumba halafu wakawajengea eneo jipya kampeni zikikaribiaDuh, huyo hatari basi!
Ni kweli, ndo mana watoto wa kike hasa kwenye twenties wanapenda zaidi wanaume waliowazidi umri. Wakiwa na wanaume wa umri wao wanaishiaga kugombana kwasabu wanakua kama wapo mbele ya mudaNormaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
Hahaha, mara nyingi hawajuiYeah, wangejua tu...
Yeah, wewe ndio unajijua kiundani. Kweli family wanakutambua coz you're part of them but kuna vitu, you & you only experience n understand about your self.Hahha is that possible?
I disagree with this. Wanawake wangekuwa wana mature faste emotionaly basi heartbreaks nyingi zisingekuwa zinatokea.Normaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
ExactlyYeah, wewe ndio unajijua kiundani. Kweli family wanakutambua coz you're part of them but kuna vitu, you & you only experience n understand about your self.
Hata wakijua watadhani, it's normal, au unazingua. That's why some pple tend to be secretive about something's affecting themHahaha, mara nyingi hawajui
Yes!, very possible...I am the living example, familia yangu hawanijui kabisa, sometimes you have to pretend to make them satisfied.Hahha is that possible?
Kama Ndugulile tu.Hero syndrome is a condition where a person will intentionally create a dangerous situation just so they can be a hero and resolve it
Na hivi viben10 vipi? 😂Ni kweli, ndo mana watoto wa kike hasa kwenye twenties wanapenda zaidi wanaume waliowazidi umri. Wakiwa na wanaume wa umri wao wanaishiaga kugombana kwasabu wanakua kama wapo mbele ya muda
Its because men normally takes advantege of womenI disagree with this. Wanawake wangekuwa wana mature faste emotionaly basi heartbreaks nyingi zisingekuwa zinatokea.
Wanawake wenyewe tunawachezea hisia kama vile tunavyopiga dandana bwana🤣🤣🤣🤣🤣
HaswaaaKama Ndugulile tu.