JF special thread kwaajili ya Facts

JF special thread kwaajili ya Facts

Normaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
Nshakupata, loud n clear 👌
 
Normaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
Ni kweli, ndo mana watoto wa kike hasa kwenye twenties wanapenda zaidi wanaume waliowazidi umri. Wakiwa na wanaume wa umri wao wanaishiaga kugombana kwasabu wanakua kama wapo mbele ya muda
 
Normaly hata katika ukuaji, watoto wa kike wanakua haraka kimwili na kiakili, ndio maana unakuta mtoto wa kike wa miaka 15 ana uwezo wa kumanage nyumba kama mama amesafiri, same applies to emotions, at the age 32, we are emotional matured kuna mambo madogo madogo hayasumbui kabisa
I disagree with this. Wanawake wangekuwa wana mature faste emotionaly basi heartbreaks nyingi zisingekuwa zinatokea.

Wanawake wenyewe tunawachezea hisia kama vile tunavyopiga dandana bwana🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom