JF: The only place you can meet real beautiful women

Mmmh wote hao 43?
Wengine hatumo bana kwenye hiyo idadi,,halaf umewaogopa umeona uje kwa id mpya ambao hawaijui si ndio
Ulijuaje kama ni mashagingi?
Usipende kuhukumu watu jiangalie kwanza wewe
Halaf kuwa na watoto ni dhambi mno eti si maamuzi ya mtu lo,,ndio maana mim kuonana na watu wa humu sitaki kabisa aisee,,mnaonana kwa nia njema kumbe mtu anakuchunguza ulivyo na kujiandaa kuja kusema jf
Cc Miss Natafuta emmyta Money Penny @Mamdenyi
 
Yani hivi ndivyo alivyo maanisha kua ni wazuri kwa maana ya kujua kipi kikae wapi.

Hujambo?
 
Nashukuru kwa upendo wako
 
Mpotezee labda kuna kit anatafuta

Ningemchamba ila ngoja ninateee nilisemq nikirudi nitakuwa nanataaaa
 
Wanaume wa humu wanajua kweli kutukosoa. Ila sisi mbona wanatutumia picha zao na tunawaona wa kawaida kabisa ila hatuwasemi
 
Wanaume wa humu wanajua kweli kutukosoa. Ila sisi mbona wanatutumia picha zao na tunawaona wa kawaida kabisa ila hatuwasemi
Tena wengine sura mbayaa kweli,,anakutumia picha huna hata hamu ya kuonana nae inaisha
Lakin wakiwa wanaandika hapa na kujisifu utashangaa mwenyewe,,
Kama umeamua kuliwa jf kubali na kuanikwa humu ,,bora uliwe huko nje tu uzoee
 
Tena wengine sura mbayaa kweli,,anakutumia picha huna hata hamu ya kuonana nae inaisha
Lakin wakiwa wanaandika hapa na kujisifu utashangaa mwenyewe,,
Kama umeamua kuliwa jf kubali na kuanikwa humu ,,bora uliwe huko nje tu uzoee
Kweli kuna mtu unatamani kweli kumuona ila akituma picha yake unakata tamaa. Lakini wala hatuwasimangi humu sijui nini
 

Duh! We jamaa kiboko!
 

Aisee nlikuwa sijaona hii


Dunia tambara bovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…